valentinypaul
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 246
- 28
Nkuunga mkobo bwana mdogo
mi ni mzaliwa na mkazi wa Kilimanjaro marangu. Unachoongea ni siasa za makabila jambo ambalo siyo zuri. Alafu siasa ni Sera siyo matusi. Waje wote wamwage Sera then wananchi waamue. Pia kama upinzani wanadhani kupita huku na huku wakisema serikali haijafanya kitu ni dili waendelee. Nimefwatilia chaguzi nyingi sana kupitia vyombo vya habari. Hakuna kitu kizuri kama Sera. Mfano Laporta vs Bartomeu pale Barcelona club kila uchao Sera zinamwagwa!!! Wananchi wamechoka na vijembe vya kutukanana na lawama. Ndio maana hata baadhi yao walimpenda Lowassa kwa kula alikuwa anawaambia atawasaidiaje japo mambo ya ufisadi yanayozungumzwa juu yake. Dr slaa mwaga Sera Dr Magufuli mwaga Sera. Zungukeni nchi mzima alafu wananchi tutawarate. Hii ndiyo siasa bora. Hawa watu wote ni makini sana na naimani Sera ndio zitawaokoa. Magufuli ni mchapakazi sana na Dr slaa pia. CCM mwacheni Magufuli msimshinikize kwa lolote mtaona watanzania watakavyo enjoy life. Pia kwa Dr slaa vilevile. Jana kuna mkurugenzi wa halmashauri fulani baada ya Magufuli kutwaa 3 bora akasema tumekwisha. Pia Dr slaa watu wanamjua vema. Taifa la Mungu twendeni church kwa wale rc alafu tukija mambo yote hadharani
Tatizo la ubaguzi kikanda ndio utatumaliza.uvccm inabidi ikanushe tamko au iwaombe watu wa kaskazini radhi.
Kwa pigo hili sidhani kama CCM ina kitu imebakiza Arusha na Kilimanjaro nadhani ndio wamejifukuza kabisa hata kile kidgo kilicho kuwa kimebaki wamepoteza, ngome imekuwa ya UKAWA moja kwa moja.
hakuna kilicho baki waje kuchukua bendera zao
Mna ukabila sana nyie na UKAWA ni geresha ya kuwadanganya CUF tu. Nyie mna ajenda ya siri kama waisrael. Haya tuone kama mtaendelea kuwadanganya watanzania tena. Dhambi ya ubaguzi itaendelea kuwatafuna.
hahahahahahah mkuu umenipa raha sana
Mkuu tatizo ni kulinganisha mbinguni na motoni. Kwa nchi zilizoendelea Sera ndizo zinakipa chama ushindi lakini kwa nchi zetu hizi asimilia kubwa ya wapiga kura hawajui chochote kuhusu sera za chama. Nchi nyingi za Africa kigezo kikubwa cha ushindi ni wizi wa kura, dini, ukabila na ukanda. Mwulize jk ni kwa nini hatasahau mchango wa usalama wa taifa katika uchaguzi wa 2010! Bila kuongelea issue ya Lowasa ni kuwa serikali imekuwa ikiidhulumu kanda ya kaskazini kwa muda mrefu. Naomba kuwakilisha
mi ni mzaliwa na mkazi wa Kilimanjaro marangu. Unachoongea ni siasa za makabila jambo ambalo siyo zuri. Alafu siasa ni Sera siyo matusi. Waje wote wamwage Sera then wananchi waamue. Pia kama upinzani wanadhani kupita huku na huku wakisema serikali haijafanya kitu ni dili waendelee. Nimefwatilia chaguzi nyingi sana kupitia vyombo vya habari. Hakuna kitu kizuri kama Sera. Mfano Laporta vs Bartomeu pale Barcelona club kila uchao Sera zinamwagwa!!! Wananchi wamechoka na vijembe vya kutukanana na lawama. Ndio maana hata baadhi yao walimpenda Lowassa kwa kula alikuwa anawaambia atawasaidiaje japo mambo ya ufisadi yanayozungumzwa juu yake. Dr slaa mwaga Sera Dr Magufuli mwaga Sera. Zungukeni nchi mzima alafu wananchi tutawarate. Hii ndiyo siasa bora. Hawa watu wote ni makini sana na naimani Sera ndio zitawaokoa. Magufuli ni mchapakazi sana na Dr slaa pia. CCM mwacheni Magufuli msimshinikize kwa lolote mtaona watanzania watakavyo enjoy life. Pia kwa Dr slaa vilevile. Jana kuna mkurugenzi wa halmashauri fulani baada ya Magufuli kutwaa 3 bora akasema tumekwisha. Pia Dr slaa watu wanamjua vema. Taifa la Mungu twendeni church kwa wale rc alafu tukija mambo yote hadharani
Kama mlivyo m bagua lowasa asubui asubui