Danny Massawe
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,295
- 755
rip brother, tupo nyuma yako... pole kwa familia
Unatuletea habari za walevitaarifa zikiwa zinadai kwamba walikuwa wamelewa
Hizi ni habari za walevi kabisa, walale wanapostahirihuku ikielezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kwamba mtoto huyo akiwa na mpenzi wake walikuwa wamelewa.
Mabillion aire walevi ?Ila ni kweli Arusha wapo mabilionea na pia awawazi kutumia hela sio kama baadhi ya Mikoa...
Misiba ya kitajiri huku kaskazini ukienda hufahamiki unatimuliwa vizuri tuWeka sawa, hawakumfanyia vurugu bali njemba ilivamia nyumbani kwa wafiwa bila kualikwa akitegemea msosi na bieri.
Tena mimi ni bilionea ajayeWanazaliwa upya kila siku, hawataisha
Arusha ukiwa na pesa ya kuwanunulia machalii Kreti la bia na Nyama choma,Basi kuanzia siku hiyo unapewa hadhi ya U Bilionea hadi kifo chako!!!Unaweza ukakuta sisi ndiyo huwa hatuelewi, kumbe wao neno Bilionea ni kama Chadema wanavyoitana Makamanda au CCM wanavyoitana Machawa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mtanisamehe Kifo kinachosababishwa na Ulevi Kupindukia. Ushamba, Sifa za Kijinga na Upumbavu ( Upopoma ) uliotukuka huwa hakiniumi, na wala sitopoteza muda wangu Kuuhudhuria sana sana nitatumia wasaa mkubwa Kumsifia Israeli Mtoa Roho kwa Kuupiga mwingi.
Arusha ukiwa na vilaki kadhaa Kila mtu atakuita billionaire.Arusha na Mabilionea
Sasa kwani kula msibani hairuhusiwi kwani?Weka sawa, hawakumfanyia vurugu bali njemba ilivamia nyumbani kwa wafiwa bila kualikwa akitegemea msosi na bieri.
Msibani chakula ni kwa wahusika tu, usipende kuvamia paliponona huku misiba ya mitaani mnapita kama vile hakuna tukio, shida ni ubwabwa wa kwenye sinia.Sasa kwani kula msibani hairuhusiwi kwani?