Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane.
Umesoma fani ipi? Jiunge @arushamailingJamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane.
Watu wa Mikoani ndivyo walivyoJamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane.
hahaha duuh acha utani,wale mitambo maalum ya kulinda nafasi wanapataje?Ushaona wapi Masai wanatangaza Job vacancies