Arusha mbona nafasi za kazi hazitangazwi humu???

viccah

Member
Apr 16, 2012
16
2
Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane.
 
Jamani wakuu kwakweli nimechoka kukaa nyumbani msaada tafadhali mbona huku Arusha nafasi za kazi hazitangazwi??? Tafadhali tusaidiane.

Mkuu, chungulia kwa Arusha mailing lists....kila siku kuna nafasi zinarushwa na wewe waweza kuweka CVs zako for a possible available vacancy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom