acheni hizo hawa jamaa ni majambazi sugu.wameua olasiti mtoto wa shule wakati wanaiba dukani kwao na wamefanya ujambazi sana kuanzia sombetini mpaka ngusero,hayo ndo malipo yao,tena waende motoni.hivyo jamani hayo sio mauaji ya kisiasa
Pia kuna ujambazi umefanywa maeneo ya sombetini- Ngusero Arusha.
Kuna kundi la watu 9 walikuwa wanapita na kuvunja maduka.
sasa wenye maduka na vijana wa maeneo hayo wakawa na Kikao cha kuanzisha Sungusungu (Ulinzi shirikishi), Akatokea mwenyekiti Wa Kitongoji akasema hakuna cha ulinzi shirikishi hapa, nyie si mnajifanya Peoples power, sasa jilindeni.
Inasemekana ni Mpango wa chama kimoja kikongwe kilichoshindwa ubungu Arumeru, sasa wanawatisha wananchi.
Na hii habari ni kwa mujibu wa Radio Sun Rise ya Arusha.
livinstonne ... Unataarifa zaidi!! Inawezekana ukafumbua fumbo linalowatatiza wengi juu ya haya mauaji!!acheni hizo hawa jamaa ni majambazi sugu.wameua olasiti mtoto wa shule wakati wanaiba dukani kwao na wamefanya ujambazi sana kuanzia sombetini mpaka ngusero,hayo ndo malipo yao,tena waende motoni.hivyo jamani hayo sio mauaji ya kisiasa
R.I.P marehemu wote,na hakika inasikitisha sana na walaaniwe waliohusika na vifo hivi.
Mi nimeongea na mkazi wa Sombetini,ambako hatimae imefahamika kuwa ndio makazi ya marehemu hawa,Yeye anasema ni mmoja tu kati yao ndio alikuwa akijhusisha na bodaboda,na akaongeza kwamba kulikuwa na walakini mtaani kwao kuhusu shughuli zao na walikwishaonywa mara kadhaa.
Kama kuna member humu kutoka mbauda atujuze kwa undani tafadhali.hii itatusaidia kuelewa kama hii ni criminal offence ya kawaida au ni Political asassination.
R.I.P marehemu wote,na hakika inasikitisha sana na walaaniwe waliohusika na vifo hivi.
Mi nimeongea na mkazi wa Sombetini,ambako hatimae imefahamika kuwa ndio makazi ya marehemu hawa,Yeye anasema ni mmoja tu kati yao ndio alikuwa akijhusisha na bodaboda,na akaongeza kwamba kulikuwa na walakini mtaani kwao kuhusu shughuli zao na walikwishaonywa mara kadhaa.
Kama kuna member humu kutoka mbauda atujuze kwa undani tafadhali.hii itatusaidia kuelewa kama hii ni criminal offence ya kawaida au ni Political asassination.
R.I.P marehemu wote,na hakika inasikitisha sana na walaaniwe waliohusika na vifo hivi.
Mi nimeongea na mkazi wa Sombetini,ambako hatimae imefahamika kuwa ndio makazi ya marehemu hawa,Yeye anasema ni mmoja tu kati yao ndio alikuwa akijhusisha na bodaboda,na akaongeza kwamba kulikuwa na walakini mtaani kwao kuhusu shughuli zao na walikwishaonywa mara kadhaa.
Kama kuna member humu kutoka mbauda atujuze kwa undani tafadhali.hii itatusaidia kuelewa kama hii ni criminal offence ya kawaida au ni Political asassination.
Ni shughuli gani zilizokuwa zinalalamikiwa na majirani na wakaonywa? Jaribu kuwa wazi kidogo utusaidie maana wengi tupo kwenye lindi la kujua nini kimejilia kwa vifo hivi vya kutatanisha kwa vijana hawa wabichi kabisa ambao ni hazina kuu kwa taifa letu.
Hapa sasa picha inakuja taratibu.
Suala la kujiuliza ni jinsi gani na nani aliwaua kwa kunyongwa?
Kama tungepata member mkazi wa huko arusha mbauda ambaeb yuko msibani angeweza kutupatia walau picha halisi ya wasifu wa marehemu hawa.
ukiangalia kwa makini unaweza kugundua kuwa sura za hawa watu zinashabihiana. labda ni ndugu
Kwa mujibu wa maelezo ya wakazi hao wa mbauda ni kwamba walikuwa wakijihusisha na uhalifu.Ni shughuli gani zilizokuwa zinalalamikiwa na majirani na wakaonywa? Jaribu kuwa wazi kidogo utusaidie maana wengi tupo kwenye lindi la kujua nini kimejilia kwa vifo hivi vya kutatanisha kwa vijana hawa wabichi kabisa ambao ni hazina kuu kwa taifa letu.
Vigumu kuamini kauli yako ukizingatia kwamba mauaji hayo yametokea wakati mmoja, ni dalili tosha ni kitu cha kupangwa. Hivyo ningeamini kauli uliyosema kama tukio ni moja au mawili, lakini kufikia idadi ya waendesha pikipiki watano kwa wakati mmoja ni jambo linaloibua maswali mengi.
Loh poleni sana wafiwa. Kama mauaji hayo kwa namna yoyote yana mkono wa kisiasa basi ni lazima umma uamke na kuchukua hatua stahiki sasa.
Poleni sana.