Arusha: Masheikh 6 wahukumiwa kunyongwa hadi kifo

Wasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.

Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.

Yaani Rais amesaini hicho kitu?

Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Kwenye kusamehe, sawa nakubaliana na wewe, lakini ukumbuke anayehukumu si kanisa, ni mahakama, ambayo inafuata miongozo ya sheria. Usisahau yule aliyemdhuru papa, papa mwenye alimsamehe na aliwenda kumtembelea gerezani.

Kuhusu watu kufa kwa mlipuko ule, soma hapa G25 Publications: MAZISHI YA WALIOKUFA KWA BOMU LILILOLIPUKA KATIKA KANISA LA MT. JOSEPH OLASITI ,JIJINI ARUSHA
 
Kwa kesi hizi za bongo za kusingiziana Wala sishangai kinachoendelea.!

Kifo sio mwisho WA maisha bado Kuna maisha mengine ambayo hayana uchawa na kusingiziana
 
kama sio kamchezo sijui, nitaamini enapo wataendelea kuwa wanasubiria adhabu yao mpaka 2025 baada ya uchaguzi, 100% sa100 hawezi kuidhinisha wanyongwe, hana kifua hcho, anaweza kuwabadilishia kifungo/kuwaachia kabisa ila kwa kupitia mlango wa nyuma.
 
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Kuna watu hamna akili aiseee..!! Hivi ulikuwepo kweli wakati panalipuliwa? Au umejiandikia tu huu ujinga?
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Hawa mashehe walikuwa wanafanya kazi ya shetani hapo...Unaanzaje hata kufikiri tu kutupa bomu kwenye nyumba iliyojaa watu wanaoabudu wanachokiamini!!
 
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Mkuu kalipue wewe baada ya kuhakikisha watu wameshatoka kanisani afu tuone 🤣🤣🤣
 
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
walikufa watu watatu mimi nasali kwenye hilo kanisa
 
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.

Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.

Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.

Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).

Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.

Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.

Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:

1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.

Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.

Pia, soma;

Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Wale wale Umati wa Magaidi
 
Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji

Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Adhabu inatolewa ili kufunza wao na walimwengu wengine. Kwa kifupi hii ndo maana ya kufunzwa na ulimwengu!
 
Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Hata kama hajafa mtu we unadhani walikuwa na nia njema??

Kwanini wasiende kulipua msikiti na badala yake Kanisa??
 
Back
Top Bottom