Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,473
- 12,884
Faiza ombi langu vp???
Nimeshasilimu mm😍😍
Faiza ombi langu vp???
Wamevuna walichopandaKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
Makosa kama hayo huwa hayana msamaha wa Rais, Labda akija kutokea Magufuli mwingine, atawasamehe na kuwaita Ikulu kama akina Babu SeyaWamehukumiwa kunyongwa japo hawatanyongwa na wataachiwa kwa msamaha wa raisi
Nchi yangu Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Kwenye kusamehe, sawa nakubaliana na wewe, lakini ukumbuke anayehukumu si kanisa, ni mahakama, ambayo inafuata miongozo ya sheria. Usisahau yule aliyemdhuru papa, papa mwenye alimsamehe na aliwenda kumtembelea gerezani.Wasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.
Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.
Yaani Rais amesaini hicho kitu?
Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Kwamba wamesingiziwa au? nani kawasingizia?Kwa kesi hizi za bongo za kusingiziana Wala sishangai kinachoendelea.!
Kifo sio mwisho WA maisha bado Kuna maisha mengine ambayo hayana uchawa na kusingiziana
Kuna watu hamna akili aiseee..!! Hivi ulikuwepo kweli wakati panalipuliwa? Au umejiandikia tu huu ujinga?Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji
Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Hawa mashehe walikuwa wanafanya kazi ya shetani hapo...Unaanzaje hata kufikiri tu kutupa bomu kwenye nyumba iliyojaa watu wanaoabudu wanachokiamini!!SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.
Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.
Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.
Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).
Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.
Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.
Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:
1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.
Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.
Pia, soma;
Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Mkuu kalipue wewe baada ya kuhakikisha watu wameshatoka kanisani afu tuone 🤣🤣🤣Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji
Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Watu 3walikufa na 79 kujeruhiwaKatika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wsmeonea, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa
huyu alishauawa mda sanaYahaya Sensei yuko wapi kwa sasa? Namuona sana kwenye maelezo lakini hayupo kwenye list ya watuhumiwa
walikufa watu watatu mimi nasali kwenye hilo kanisaKwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji
Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Hii labda ingemkuta mwenda zake, Maza ni kumtwisha mzigo asiostahili.watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.
Wasamehewe.
Kama walilipua kanisa na hakuna mtu aliyefariki hiyo ni hukumu ya Allah.
Waachie, miaka kumi wako kifungoni imetosha.
Yaani Rais amesaini hicho kitu?
Wale Waheshimiwa wawasaidie kukata rufaa.
Wale wale Umati wa MagaidiSHURA YA MAIMAMU TANZANIA
MASHEIKH SITA 6 WAHUKUMIWA KUNYONGWA ARUSHA LEO
Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 12/12/2023, imewasomea hukumu Masheikh tisa miongoni mwa wale wanaoshikiliwa na Serikali kwa zaidi ya miaka kumi katika Gereza Kuu la Kisonge Mkoani Arusha.
Masheikh hao wanatuhumiwa na Serikali kwa Ugaidi wa kulipua Kanisa Katoliki la Ole sita mkoani Arusha mwaka 2013.
Akisoma hukumu hiyo Jaji Nkwabi aliwaachia huru Masheikh watatu ingawa mmoja miongoni mwao amerejeshwa jela kwa sababu ya kukabiliwa na tuhuma nyingine.
Walioachiwa huru ni: Abduli Humud Wagoba, Abdurahmani na Amani Mussa Pakasi (ambaye amerejeshwa gerezani).
Aidha Jaji Nkwabi alionesha kuridhishwa na ushahidi wa Polisi kwamba Masheikh sita katika shauri hilo akiwemo imamu mkuu wa Msikiti mashuhuri Masjid Quba Arusha, Sheikh Jaafar Hashim Lema waliripua Kanisa Katoliki na kusababisha madhara makubwa.
Kwa sababu hiyo Jaji Nkwabi aliamua kuwahukumu adhabu kali ya kunyongwa mpaka kufa.
Masheikh hao waliokaa gerezani kwa zaidi ya miaka kumi na hatimaye kuhukumiwa kifo ni:
1. Imam Jaafar Hashima Lema.
2. Yusuf Ali Huta
3. Ramadhani Hamadi Waziri.
4. Abdul Hassa Masta.
5. Kassim Idrisa. Na-
6. Abashari Hassan Omari.
Masheikh hao pamoja na wenzao kumi walio hukumiwa kunyongwa hivi karibuni mkoani Tanga, watanyongwa baada ya Rais Samia Suluhu Hassani kutia saini.
Pia, soma;
Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Adhabu inatolewa ili kufunza wao na walimwengu wengine. Kwa kifupi hii ndo maana ya kufunzwa na ulimwengu!Kwa maelezo hayo uliyoyatoa kuhukumiwa kunyongwa mpaka kufa ni uwonevu. Hakimu atakuwa ametoa hukumu kwa chuki zake za kidini kwasababu ktk maelezo uliyoyatoa, hakuna mtu hata mmoja aliyekufa wakati wa kulipia hilo kanisa na hii inaonyeaha kwamba walipuaji walihakikisha hakuna mtu ndani ya kanisa wakati wa ulipuaji
Walisitaili kupata kifungo kilefu kwa uharibifu wa mali lakini sio kunyongwa mpaka kufa
Hata kama hajafa mtu we unadhani walikuwa na nia njema??Katika kulipua kanisa hiyo watu wangapi walipoteza maisha, kama hamna alio kufa wameonewa, na soon watakua huru uonevu hauwezi kufanikiwa