VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mwishoni mwa juma nilikuwa jijini Arusha.Kwenye safari zangu za kimapato.Nikajifunza jambo moja.Kwamba CCM,kiwe kimehusika na hukumu iliyomsimamishia ubunge Lema ama la,haina mvuto Arusha.Ingawa Jaji Rwakibalira alimsimamisha Lema kuwa Mbunge,bado wana-Arusha wameishikilia CHADEMA mioyoni mwao.Wanaoongozwa na Lema kama kocha aliye nje ya 'pitch'-kwenye 'touch line'.
Hakuna mradi unaopitishwa Arusha bila idhini ya CHADEMA.Hata sisi wasomi wa Sheria tunahakikishiwa ulinzi pale Arusha na CHADEMA.Siioni dalili ya CCM kupata Ubunge pale hata kama uchaguzi utarudiwa baada ya Rufaa ya Lema Mahakama ya Rufani kukataliwa(?).CHADEMA inaliwaza,inaokoa,inaongoza na itashika nchi muda si mrefu.Natamani Kibaha kwangu kuwe kama Arusha....
Hakuna mradi unaopitishwa Arusha bila idhini ya CHADEMA.Hata sisi wasomi wa Sheria tunahakikishiwa ulinzi pale Arusha na CHADEMA.Siioni dalili ya CCM kupata Ubunge pale hata kama uchaguzi utarudiwa baada ya Rufaa ya Lema Mahakama ya Rufani kukataliwa(?).CHADEMA inaliwaza,inaokoa,inaongoza na itashika nchi muda si mrefu.Natamani Kibaha kwangu kuwe kama Arusha....