JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,519
- 7,556
kampeni zinazoendelea huko Arumeru zinanipa picha moja kuwa wanasiasa wengi wanaamini kuwa wananchi wengi ni wajinga na ambao hawaelewi chochote kinachoendelea nchini kiasi cha kuwaambia mambo mengine kipuuzi na ya kizushi. mbunge anawaomba wananchi wamchague mgombea wa chama chake kwa kuwa amefiwa na hiyo itakuwa ndio kifuta machozi chake! kweli tumeffikia hatua hii? mbona kwenye majimbo mengine ambayo wabunge wake walifariki mbona watoto wao hawakupewa nafasi ya kugombea nafasi zilizoachwa na wazee wao kama kifuta machozi! au wananchi huwa hawafikirii! naamini kuna watu wanawaona wananchi mabwege sana au ndio hali jinsi ilivyo?