Mbulumundu
Member
- Dec 19, 2011
- 10
- 4
For sure kama kinachoendelea Arumeru Mashariki hakitabadilika, Chadema wana jimbo.Nahofia tu fununu za ununuzi wa kadi za wapiga kura ambao wadau wanaozungumzia pia hawajanipa ushirikiano wa kutosha niweze kupata ushahidi. Kwa aliyeko karibu na eneo hili na mdadisi mzuri afanyie kazi hili!