mimi ni man utd kama unavyoniona ktk avatar,lakini kesho mashabiki wa arsenal nipo nyuma yenu!funga city
sijawahi kuona mshabiki wa united akawa nyuma ya gunners ila kwa sababu sasa hivi mnafukuzia ubingwa na mnafukuzana na man city najua united wote leo mtakuwa the gunners tafadhafali sana mnaombwa muendelee kuisapoti the gunners hata baada ya mechi ya leo