TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Mkuu huyu refa huwa anaionea sana Arsenal kwenye maamuzi yake,mi simuamini kabisa!!!!!!
Wenger mbona halalamiki kama Sir Alex Feg?
Mkuu huyu refa huwa anaionea sana Arsenal kwenye maamuzi yake,mi simuamini kabisa!!!!!!
Mkuu huyu refa huwa anaionea sana Arsenal kwenye maamuzi yake,mi simuamini kabisa!!!!!!
Wenger mbona halalamiki kama Sir Alex Feg?
I see.............kuna fact zinasema katika game 16 alizochezesha aseno imefungwa 8 na upande wa city kafungwa 2 ngoja tuone..
Mike Dean...............
Dah!!1
Dakika ya 31
Arsenal 0-2 Man City
Dzeko
kuna fact zinasema katika game 16 alizochezesha aseno imefungwa 8 na upande wa city kafungwa 2 ngoja tuone..
ana damu ya kunguni ndo maana..