idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Hata angekuwepo RV asingesaidia.......Kumbuka Arsenal wamecheza ungufu (10) tangu dakika ya 7 hadi ya 80s
mkuu Bala nasemea msimamo wa ligi kwa ujumla hadi sisi wengine tunapata tabu kwa sababu yake(chelsea)