Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hu
Kuna vitu hata Ordinary kocha anajua afanye nini.. Inashangaza kwanini timu imeingia uwanjani bila kuwa na Thomas Partey au Jorginho

Bro utagombana na watu humu ukimsema Kai Havertz... Maana kuna watu humu wanakuambia anawasumbua sana mabeki
Hilo suala ndio sitaki kusikia πŸ˜‚, usumbufu gani huo, yaani akawe msumbufu kuliko jesus, jesus mzuri akiwa na mali na hata bila mali.
Arteta akubali tu hapa kwa kai alipigwa. Na leo watuache tusiomkubali kai tutambe, wao huwa wanatamba saana anapobahatisha, unaweza kusema kai ndio bora duniani.. mie nakwambia yule kai kwenye timu yangu ya mtaani ya malegend(maveteran) hapati namba mchezaji hana skills, hana mnyumbuliko yupo yupo tu anacheza mpira basic mnoo, na kwa nafasi yake inahitajika zaidi ya hayo mtizame odegaard, jitu linakimbia kama lina gunzi matakoni.

Game ilimuhitaji partey ye akatoa odegaard serious, kisha likai likabaki ndani, sawa akataka atumie mipira ya juu je ana ubora huo.

Mie niko pale pale kai ni big NO hata kama akifunga goli 100 kwa msimu, anahitaji kujiupgrade.

Mbona declan rice hatumsemi, kuna mtu nilibishana nae saana yeye rice mie partey, ni kweli kwagu bado partey ni bora lakini kazi ya rice si ya kubezwa, nimekubali mziki, sio kwa huyu ngongoti kai
 
There is always NEXT TIME...
Next year

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • 20240414_205639.jpg
    20240414_205639.jpg
    1.9 MB · Views: 3
dogo watu tumaengalia fainali za Euro mwaka 2000 kati ya France na Italy uzangumzia Sheikh mansoor aliyemeleta Robert Sant Cruz Kutoka Blackburn Rovers juzi niheshimu kidogo basi ata kama nimekosea
Wewe bado sana, mimi nimeangalia fainali za world cup 1994
 
Tuliwaambia Emery ni tactician mzuri kuliko Arteta na mngempa ushirikiano mzuri kama anaopewa Arteta, angewapa makombe kadhaa yenye hadhi. Mkakazania kucheza sexy football isiyo na matokeo ya maana. Haya, arteta kapigwa home and away na Emery lakini akija yule tapeli wa man utd anayejiita shabiki wa arsenal analeta takwimu uchwara bila makombe.
 
Back
Top Bottom