Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
Viungo wavunja kuni ,siwapendi ,napenda DM Kama Partey ,Rodri , Gorginho , FDJ ,Naamini Rice anakuja nxt summer, ningewaza locatelli lkn sidhani km tunaweza kurudi nyuma.
Nipe ubora wa Rice kwa mpira hasa huu tunaocheza ambao unahitaji DM awe na accuracy kubwa Sana ya upigaji pass kuliko kufanya tackling