Enzi imewaisha, nyie na Chelsea tofauti ni rangi ya Jezi tuNyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Punguza makasiriko MkoPoka, hizi nongwa zako hazitakusaidia kitu, kunjua moyo wako upate kufurahia burudani ya uhakika kutoka kwa vijana machachari wa Ten Hag.Enzi imewaisha, nyie na Chelsea tofauti ni rangi ya Jezi tu
Punguza makasiriko MkoPoka, hizi nongwa zako hazitakusaidia kitu, kunjua moyo wako upate kufurahia burudani ya uhakika kutoka kwa vijana machachari wa Ten Hag.
Akionyesha kiwango ananunuliwa TuHaya mmalize msimu arudi kwao mana kashaongeza mkataba huko ATM mpaka 2027, unless km mtataka mpigwe tena mkitaka kumchukua mazima.
Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himselfNyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.
Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Make kwanza nichekePunguza makasiriko MkoPoka, hizi nongwa zako hazitakusaidia kitu, kunjua moyo wako upate kufurahia burudani ya uhakika kutoka kwa vijana machachari wa Ten Hag.
Sema timu zenye hazina uefa hata moja hizi akili zinakuwa hazipo.Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himself
Cry me a riverSema timu zenye hazina uefa hata moja hizi akili zinakuwa hazipo.
Halafu ukishakua shabik tu wa Arse88 akili zenu zinakua zinafanana.We Mzee Shit napiga aisee, msimu huu ubingqa nautaka sio kwa utani
Cry moreCry me a river View attachment 2476993
allypipi huu ni udhalilishaji.
Sawa mwalimu wa Historia...naona RVP jana katupia goli 2...Manure kubalini nyakati zimebadilika yani mmekua kama wahuni wazamani kujitamba kwingi wakati nguvu kwasasa hawana
Sawa mwalimu wa Historia...naona RVP jana katupia goli 2...Manure kubalini nyakati zimebadilika yani mmekua kama wahuni wazamani kujitamba kwingi wakati nguvu kwasasa hawana
Cheki ulipo maana hata Notingham Forest wanazo 2
Cheki ulipo maana hata Notingham Forest wanazo 2View attachment 2477130
Mmechukuka ubingwa baada ya mechi 17Cheki ulipo maana hata Notingham Forest wanazo 2View attachment 2477130
Kikosi ulichotuma kinapewa guard of honour ndio kilicheza jana na Rasford ndio RVP?Mmechukuka ubingwa baada ya mechi 17