Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Screenshot_20230110_204539.jpg
 
Nyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Enzi imewaisha, nyie na Chelsea tofauti ni rangi ya Jezi tu
 
Nyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himself
 
Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himself
Sema timu zenye hazina uefa hata moja hizi akili zinakuwa hazipo.
 
Back
Top Bottom