Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,265
Hii kitaalamu tunahiitaje hiii "WIN TO WIN"
Jifunze kuandika kwanza kabla ya kutupigia keleleHii kitaalamu tunahiitaje hiii "WIN TO WIN"
Kwa misimu kama miwili mitatu nyuma city amekua akigewa ratiba kama tuliyoanza nayo sisi huku Carabao hii ilisababisha iwe rahisi kwake kuruka raundi zijazo.
Ninachomaanisha ni kwamba ushindi wetu dhidi ya AFC tukiuweka kwenye mzani dhidi ya ushindi wa Westham VS united. Na wa chelsea aliyeenda next round kwa penati dhidi ya villa hawa wameingia kwa kutumia nguvu kutuzidi.
Baada ya goli la penati Arsenal haikupiga shuti lolote tena for almost 20 minutes. Ni maajabau ukizingatia ni timu kubwa mbele ya Wimbledon, kisha hakukua na real chances.
Kuna vitu unaviona karibia kila wiki lakini havirekebishwi, hii inasababisha kuotea matokeo kwa kuangalia defense ya timu mnayokutana nayo na forwards zao.
Mfano kwa game dhidi ya spurs naona wenzetu wana ari na morali kutuzidi. Obviously tutastruggle. Na hii ni derby ambayo form hua haiwekwi kwenye equation as wachezaji hujitoa mno.
Qn comes. Arsenal ina wachezaji wa kujitoa?
Unachekelea nini wewe mbeba tunguli za psg
bado sijajua
Kitu huwezi kufany duniani bas nipamoja na kuham timu,, atalud tuRapper wa Tanzania aitwae Songa ameamua kuonesha kwa vitendo na msisitizo kwamba amehama kutoka kuwa Shabiki wa Arsenal na sasa ni Shabiki wa Manchester United ambapo kwa msisitizo ameachia na wimbo mpya kabisa unaitwa 'Nimehamia Manchester United"
Siku chache zilizopita Songa aliwaomba Mashabiki wa Manchester United kumpokea baada ya kuchoshwa na matokeo mabovu ya Timu aliyokua akiishabikia na kuipenda ya Manchester
ComputerArsenal atoe nyimbo 'nimeamia Psg'Rapper wa Tanzania aitwae Songa ameamua kuonesha kwa vitendo na msisitizo kwamba amehama kutoka kuwa Shabiki wa Arsenal na sasa ni Shabiki wa Manchester United ambapo kwa msisitizo ameachia na wimbo mpya kabisa unaitwa 'Nimehamia Manchester United"
Siku chache zilizopita Songa aliwaomba Mashabiki wa Manchester United kumpokea baada ya kuchoshwa na matokeo mabovu ya Timu aliyokua akiishabikia na kuipenda ya Manchester
PSG kila game ni point 3 tumeshindwa basi ni point 1ComputerArsenal atoe nyimbo 'nimeamia Psg'
Ni sawa tu.Rapper wa Tanzania aitwae Songa ameamua kuonesha kwa vitendo na msisitizo kwamba amehama kutoka kuwa Shabiki wa Arsenal na sasa ni Shabiki wa Manchester United ambapo kwa msisitizo ameachia na wimbo mpya kabisa unaitwa 'Nimehamia Manchester United"
Siku chache zilizopita Songa aliwaomba Mashabiki wa Manchester United kumpokea baada ya kuchoshwa na matokeo mabovu ya Timu aliyokua akiishabikia na kuipenda ya Manchester
Katika uzi wenu hakuna hata anayepost kikosi siku mkiwa mnacheza 😅PSG kila game ni point 3 tumeshindwa basi ni point 1
Psg mna Man city Uefa ngoja tuone,PSG kila game ni point 3 tumeshindwa basi ni point 1
Mkuu hapa umeongea kituMpira wenu wa kuremba mtapata shida sana kuzifunga team kubwa
Mechi za PSG zote zikosi kuangalia but kwa Poch I think kashindwa kumanage big players sio kocha wa type hiyo na I know hana maisha marefu and akija Arsenal for example ataleta mabadiliko makubwa sana sababu ana kipaji cha ukocha kwa hasa timu ambazo hazina Big players,kuna macoach ambao ukiwapa timu kama PSG wanatusua na wengine watashindwa hata kama yupo class ya juu but all in all najua Poch hamalizi msimu huuKatika uzi wenu hakuna hata anayepost kikosi siku mkiwa mnacheza
Unajua timu ikiwa na mastar wengi ultimate formation hua ni 4 3 3 sielewi kwanini Poch anacheza 4 2 3 1. Tuchel kwa kujua ana mastar wengi ikabidi awe anacheza 4 2 4, ili Icardi, Mbappe, Di Maria na Neymar wote wapate namba.
Ila hii formation ilimdhalilisha Tuchel kwa united kwakua forwards ni mastar wakawa wagumu kukaba pia unakua prone kwa counter na forwards zenye speed. Akadhalilika uefa ila ligi ya ndani ilikua unajua psg anashinda.
Tuje kwa Poch kabla ya mechi unaona PSG ina odds 1.03 kushinda dhidi ya timu yoyote ya ligue 1 hiyo timu nyingine inagewa odds 15 kushinda.
Siku ya mechi psg ataanza kupigwa chuma. Atahaha kuchomoa mpaka dakika ya 88. Dk ya 91 hivi timu pinzani inapata red dk ya 93 psg inapata goli la 2. Magoli yanafungwa na beki Hakimi.
Haka katimu katapigwa na city live. Am sure hata mechi hauangalii.
Unasema Poch aje Arsenal? 😅 😅 Hakuna namna anaweze kuja Arsenal, hata mou hawezi tena kuja Arsenal kwakua tayari kashajihusisha na spurs.Mechi za PSG zote zikosi kuangalia but kwa Poch I think kashindwa kumanage big players sio kocha wa type hiyo na I know hana maisha marefu and akija Arsenal for example ataleta mabadiliko makubwa sana sababu ana kipaji cha ukocha kwa hasa timu ambazo hazina Big players,kuna macoach ambao ukiwapa timu kama PSG wanatusua na wengine watashindwa hata kama yupo class ya juu but all in all najua Poch hamalizi msimu huu
PSG ni timu kubwa haina mambo ya kike kike coach ukiunder perform unafukuzwa sio Arsenal coach hana ujuzi na hata fans wa Arsenal 80 percent hawamtaki but Management inaogopa kuvunja mkataba kisa itamlipa hela nyingi that's nonsense na every season fans wanaumia na kulia lia kama wewe no changes tena wanazidi kuwa vibaya zaidi
Juzi Arsenal kaingiza Fans 50K mechi ya carabao midweek na wanasupport timu mwanzo mwisho, mechi ya Burnley nadhani uliona jinsi gani Fans wapo tayari kupigana kwa ajili ya Arsenal ya Arteta,Mechi za PSG zote zikosi kuangalia but kwa Poch I think kashindwa kumanage big players sio kocha wa type hiyo na I know hana maisha marefu and akija Arsenal for example ataleta mabadiliko makubwa sana sababu ana kipaji cha ukocha kwa hasa timu ambazo hazina Big players,kuna macoach ambao ukiwapa timu kama PSG wanatusua na wengine watashindwa hata kama yupo class ya juu but all in all najua Poch hamalizi msimu huu
PSG ni timu kubwa haina mambo ya kike kike coach ukiunder perform unafukuzwa sio Arsenal coach hana ujuzi na hata fans wa Arsenal 80 percent hawamtaki but Management inaogopa kuvunja mkataba kisa itamlipa hela nyingi that's nonsense na every season fans wanaumia na kulia lia kama wewe no changes tena wanazidi kuwa vibaya zaidi
We nae una unaa mwingi sasa fans kwenda kwenye mechi ndio wanamkubali coach?wenzetu wananunua tickets za msimu mzima na sijawahi kuona fans wa timu yoyote hawaendi uwanjani hata kama timu ni ya 20Juzi Arsenal kaingiza Fans 50K mechi ya carabao midweek na wanasupport timu mwanzo mwisho, mechi ya Burnley nadhani uliona jinsi gani Fans wapo tayari kupigana kwa ajili ya Arsenal ya Arteta,
hizo data za 80% ni huko kwenu tu mkuu ila London watu wananunua ticket wananunua jezi na ndio wenye timu yao.
Sent using Jamii Forums mobile app