Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Namuaminia Wenger kwa secret deals, I believe by the end of this transfer deadline kutakuwa na a shock signing ya Arsenal, si unakumbuka usajili wa Gallas? Reyes? deal zote hizo zilipigwa kimyakimya kwa kuwa mitimu yenye hela za mchezo ikiskia tu Prof. anamfutilia mchezaji flani inakwenda mbio na kupanda dau, naskia anamuulizia Kalou huku darajani, lets wait and see.
Target kubwa ya Wenger ni kwa Jonathan De Guzman wa FEYENOORD ambapo kuna tetesi katenga Paundi million 30 kumchukua midfielder huyo wa FEYENOORD ya Uholanzi