Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usajili Updates: Real Madrid wawaambia Arsenal Morata atagharimu Euro milioni 49.

Klabu ya Real Madrid wamewataadharisha klabu ya Arsenal kwamba endapo watataka kumsajili mshambuliaji huyo bais utabidi watoe kiasi cha Euro milioni 51 au sawa na paundi milioni 38.

Lakini kabla ya Arsenal kumsajili mchezaji huyo itabidi Real wamsajili upya halafu wamuachie asajiliwe na Arsenal hivyo kupata faida ma mbili.

alvaro-morata.jpg

Alvaro Morata

Madrid wanaweza kumnunua Morata kwa Euro milioni 30 na kumuuza kwa Euro milioni 51 wanakuwa wamepata faida ya Euro milioni 20.

Klabu hiyo ya Santiago Bernabeu miaka miwili iliyopita ilimsajili Morata kwa gharama ya paundi milioni 16 na endapo itamchukua kutoka Juventus itapoteza kama paundi milioni 8 hivi, lakini kuweza kupata faida mara mbili ikiwa kalbu kama Arsenal watafanya biashara asubuhi na mapema.

Hivi sasa mshambuliaji huyo yupo kwenye mazoezi na timu ya taifa ya Spain kujiandaa na Euro 2016 na wiki jayo anatarajiwa kukutana na maofisa wa Real Madrid.

Ntakuja na habari zaidi za usajili.

Wakati huohuo kumefanyika mabadiliko ya namba za jezi za wachezaji na Aaron Ramsey amepewa jezi namba 8 ambayo ilikuwa ikitumiwa na Mikael Arteta.

Ramsey alikuwa akitumia jezi namba 16.

Namba hio 8 imewahi kutumiwa na wakongwe Ian Wright na Freddie Ljungberg.

Alexis Sanchez nae amebadilisha namba ya jezi na atavaa namba 7 mgongoni badala ya 17 na namba hiyo 7 ilikuwa ikitumiwa na Tomas Rosicky.

Alex Iwobi atatumia namba 17 ambayo ilikuwa ni ya Alexis Sanchez. Iwobi alikuwa akivaa jezi namba 20.

Hivyo Gunners mkiwatazama wachezaji hawa wawapo uwanjani basi Ramsey ni 8 na Sanchez namba 7 na Alex Iwobi namba 17

Nadhan dogo anaweza akaishia City..

You Guys should gp all over for Benzema Aisee, maana naona Madrid are in for Lewandowski.

Deal ya Morata inaweza ikadrag on mpaka August..mkajikuta mme-miss targets zingine..

But, round hii Wenger Means Business Aisee, GRANIT XHAKA ni BONGE ya SIGNING..
 
Nadhan dogo anaweza akaishia City..

You Guys should gp all over for Benzema Aisee, maana naona Madrid are in for Lewandowski.

Deal ya Morata inaweza ikadrag on mpaka August..mkajikuta mme-miss targets zingine..

But, round hii Wenger Means Business Aisee, GRANIT XHAKA ni BONGE ya SIGNING..

Itakuwa hivyo kama strategy kwa Man City.

Lakini Real Madrid wamefanya mazungumzo na Robert Lewandowski hivyo kama atakwenda Real basi Benzema anaweza kwenda Arsenal au Man Utd na Morata atakataa kuwa bench hivyo kuwepo uwezekano wa Morata nae kwenda Arsenal, PSG au hata Man City.

Kwenye dirisha la usajili na mfumo wake wa uhamisho wa wachezaji umejaa usiri mkubwa baina ya timu husika kutokana na kuwemo maskauti, mawakala na wawakilishi wa timu husika na wadau wa kawaida.

Utakumbuka suala la Willian ambae alinyakuliwa na Chelsea alipokuwa akijiandaa kwenda kufanya medical na Tottenham.

Willian akikwishakubali kufanya usajili na Spurs lakini "one phonecall" ya Mourinho ikambadili mawazo.

Na hivyo ndivyo ilivyokuwa juzijuzi wakati "one phonecall" ya Wenger mwenyewe kwa Xhaka ilimpa uhakika wa uhamisho.

Ndivyo itakavyokuwa kwa Klopp na Guadiola ambao nao wana connections kwa insiders.

Hivyo inawezekana kutokea lolote hasa baada ya Mourinho kwenda Man Utd na wakala wake "super agent" bwana mendez ambae ana ushawishi mkubwa kwa wachezaji wengi wa La Liga.

Ndio maana Arsenal safari hii wamewahi kwanza na Xhaka na watawahi kwa wachezaji wengine wawili.

Na si Motara pekee ambae anawaniwa na Arsenal, pia wanaangalia kwa Duvan Zapata wa Udinese (yupo hapo kwa mkopo kutoka Napoli), Paulo Dybala, Aubameyang, Lukaku, Daniel Sturidge, Higuaín, Edinson Cavani, Ramadel Falcao, Mauro Icardi na Mitchy Batshuayi wa Marseille.

Hivyo tungojee tu shocking news hivi karibuni.

Ila hili halina ubishi Arsene Wenger akikosea mahali safari hii basi Arsenal wanaweza kushika nafasi 6 msimu ujao.
 
Itakuwa hivyo kama strategy kwa Man City.

Lakini Real Madrid wamefanya mazungumzo na Robert Lewandowski hivyo kama atakwenda Real basi Benzema anaweza kwenda Arsenal au Man Utd na Morata atakataa kuwa bench hivyo kuwepo uwezekano wa Morata nae kwenda Arsenal, PSG au hata Man City.

Kwenye dirisha la usajili na mfumo wake wa uhamisho wa wachezaji umejaa usiri mkubwa baina ya timu husika kutokana na kuwemo maskauti, mawakala na wawakilishi wa timu husika na wadau wa kawaida.

Utakumbuka suala la Willian ambae alinyakuliwa na Chelsea alipokuwa akijiandaa kwenda kufanya medical na Tottenham.

Willian akikwishakubali kufanya usajili na Spurs lakini "one phonecall" ya Mourinho ikambadili mawazo.

Na hivyo ndivyo ilivyokuwa juzijuzi wakati "one phonecall" ya Wenger mwenyewe kwa Xhaka ilimpa uhakika wa uhamisho.

Ndivyo itakavyokuwa kwa Klopp na Guadiola ambao nao wana connections kwa insiders.

Hivyo inawezekana kutokea lolote hasa baada ya Mourinho kwenda Man Utd na wakala wake "super agent" bwana mendez ambae ana ushawishi mkubwa kwa wachezaji wengi wa La Liga.

Ndio maana Arsenal safari hii wamewahi kwanza na Xhaka na watawahi kwa wachezaji wengine wawili.

Na si Motara pekee ambae anawaniwa na Arsenal, pia wanaangalia kwa Duvan Zapata wa Udinese (yupo hapo kwa mkopo kutoka Napoli), Paulo Dybala, Aubameyang, Lukaku, Daniel Sturidge, Higuaín, Edinson Cavani, Ramadel Falcao, Mauro Icardi na Mitchy Batshuayi wa Marseille.

Hivyo tungojee tu shocking news hivi karibuni.

Ila hili halina ubishi Arsene Wenger akikosea mahali safari hii basi Arsenal wanaweza kushika nafasi 6 msimu ujao.
hahahaha, Cant see us giving you Sturridge Aiseee, hahaha

Lukaku naona Chelsea are strongly in for him, nadhani battle ipo kati ya Chelsea na PSG..

Heard somewhere kuwa Auba ni Madrid bound?? either way sidhani kama atataka kuja Arsenal..

Higuain ni perfect choice Aisee, na Cavani pia..And wote hao wanaweza patikana kama Wenger akiamua kupush it hard...

Dybala Sidhani kama atavutika na kuja Arsenal, na Sidhan kama Wenger anaweza akamshawishi..Top prospect ile..Club kubwa nyingi zinamwangalia kwa Club, nadhani baada ya msimu ujao ndo anaweza akamake a move..

So IMO, Morata, Higuain, Cavani, Benzema, Laccazette, Michy, Icardi etc ndiyo STs ambayo Arsenal inaweza kuwashawishi..Lukaku inawezekana sana lakini kwa price tag yake sioni Wenger akimove for him, and Sturridge inawezekana SANA kwasababu pia ni Arsenal fan vilevile but LFC wont let him join you guys lol..labda mlete *monster offer" ambayo tutakuwa wajinga kuiTurn down..
 
hahahaha, Cant see us giving you Sturrodge Aiseee, hahaha

Lukaku naona Chelsea are strongly in for him, nadhani battle ipo kati ya Chelsea na PSG..

Heard somewhere kuwa Auba ni Madrid bound?? either sidhani kama atataka kuja Arsenal..

Higuain ni perfect choice Aisee, na Cavani pia..And wote hao wanaweza patikana kama Wenger akiamua kupush it hard...

Dybala Sidhani kama atavutika na kuja Arsenal, na Sidhan kama Wenger anaweza akamshawishi..Top prospect ile..Club kubwa nyingi zinamwangalia kwa Club, nadhani baada ya msimu ujao ndo anaweza akamake a move..

So IMO, Morata, Higuain, Cavani, Benzema, Laccazette, Michy, Icardi etc ndiyo STs ambayo Arsenal inaweza kuwashawishi..Lukaku inawezekana sana lakini kwa price tag yake sioni Wenger akimove for him, and Sturridge inawezekana SANA kwasababu pia ni Arsenal fan vilevile but LFC wont let him join you guys lol..labda mlete *monster offer" ambayo tutakuwa wajinga kuiTurn down..

Sawa mkuu wa Cop.

Akija kwa Sturridge Wenger safari hii hatafanya yale ya Suarez ya 40M+£1

lol.
 
hahahahahahahahaha

Sidhani kama Klopp ana mpango wa kuuza Top players summer hiii.

Yes, uko right.

Ila Wenger amebadilisha strategy hasa baada ya shoking display ya Olovier Giroud ambe amecheza mechi 15 bila kufunga.

Ndio maana hizo targets zipo mezani.

Tusubiri msimu ujao utakuwa wa patashika, hapatakalika.
 
Yes, uko right.

Ila Wenger amebadilisha strategy hasa baada ya shoking display ya Olovier Giroud ambe amecheza mechi 15 bila kufunga.

Ndio maana hizo targets zipo mezani.

Tusubiri msimu ujao utakuwa wa patashika, hapatakalika.
Wenger itabidi aacf fast pia, kafanya vizuri kumsign Xhaka mapema, but bado anahitaji CB na ST.

Tatizo ni kwamba Pep, Jose, Conte wote watakuwa Sokoni na HELA kibao, sanasana Pep, coz nmeona sehemu kuwa only Aguero, De Bruyne na Fernandinho are SAFE..so ataspend sana Aisee. cha msingi ni kuact fast sana kabla ya euros.
 
hahahahahahahahaha

Sidhani kama Klopp ana mpango wa kuuza Top players summer hiii.
Danny Sturridge ni Injury Prone

na kwa Calamity la majeruhi arsenal pale

Simtaki huyo Sturidge ataishia ((Treatment room))

No to danny sturridge
 
Wenger itabidi aacf fast pia, kafanya vizuri kumsign Xhaka mapema, but bado anahitaji CB na ST.

Tatizo ni kwamba Pep, Jose, Conte wote watakuwa Sokoni na HELA kibao, sanasana Pep, coz nmeona sehemu kuwa only Aguero, De Bruyne na Fernandinho are SAFE..so ataspend sana Aisee. cha msingi ni kuact fast sana kabla ya euros.

Ni kweli ndio maana yupo busy sana safari hii.
 
Back
Top Bottom