Walau nyie mnavuliwa nguo usiku...
Polen sana tuliwapunguzia kitonga anfield naona imeshindikana teh teh teh...
Leo The Saints lazima wale BUNDUKI risasi tatu tu, chini!
COYG.
Hali hii hutokea kila mara Arsenal wanapopunguziwa Kitonga.
Lakini si mbaya sana bado tupo nyumba kwa 2 points
Tusipoongoza ligi leo! Ubingwa kwaheri!
Tunamtaka barca tunamtaka barca kwikwikwiiii
Pole mdau tumia chance next week naona leicester anapiga na mancity