Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal bado ni best team kwenye EPL na leo wamekutana na timu ya Koeman ambayo imepangwa vizuri, na wamepatikana.

Southampton wanacheza mtindo ambao Arsenal waliutumia kuifunga Man City

COYGs!
 
Theo Walcott anatoka na nafasi yake ianchukuliwa na Alex Iwobi.

Dakika inakwenda ya 80

Southampton 3 Arsenal 0
 
Back
Top Bottom