ee bwana kweli the gunner ni sooo yani blackburn kapelekwa mchakamchaka kaa watoto wadogo kisha tukawafundisha soka tukawapiga 6-2 almanusra tuwapige wiki(7)
sasa hapo ligi ndio imeenza tunachukua pointi zote 12 ktk msimu huu wa sikukuu kisha mwenzi wa 2 2007 tutakuwa pale kileleni tunalinyemelea lile taji kubwa ambalo kwa sasa liko kibahati 2 kwa watoto wadogo chelsea ambao walikuwa na takribani miaka 50 hawajui utamu wa ubingwaaaaa
x-mas njema hususani kwa fans wa gunners kwani bao sita ni soo hii inamaanisha tumefunga na mabao ya mechi inayokujaaaaaaa
sasa hapo ligi ndio imeenza tunachukua pointi zote 12 ktk msimu huu wa sikukuu kisha mwenzi wa 2 2007 tutakuwa pale kileleni tunalinyemelea lile taji kubwa ambalo kwa sasa liko kibahati 2 kwa watoto wadogo chelsea ambao walikuwa na takribani miaka 50 hawajui utamu wa ubingwaaaaa
x-mas njema hususani kwa fans wa gunners kwani bao sita ni soo hii inamaanisha tumefunga na mabao ya mechi inayokujaaaaaaa