James Clan...Like sister, like brother
View attachment 2991342
Hiyo para ya pili toka mwisho daah...Nilikua naangalia press conference ya Ange baada ya mechi jamaa anaonekana amekasirika vibaya mno. Anaongelea juu ya misingi ndani ya timu kua legelege akaulizwa hilo swala kaona nje ya timu au ndani ya timu akajibu kote.
This means Ange focus yake ni ushindi ila timu haina huo utamaduni, kwao mafanikio ya msimu ni kumaliza juu ya Arsenal au Arsenal asipochukua ubingwa. Makocha wawili waliopita Jose na Conte wote waliongelea hilo swala kwamba "Timu haina winning mentality"
Conte alienda mbali akasema labda hii ni historia ya Tottenham. Lakini hili swala la misingi Jose alilisema akiwa na nyumbu pia, mwingine aliyeongelea misingi ya nyumbu ni Zlatan, Pogba na Cristiano.
Kama Bongo, mafanikio ya Simba ni Yanga asishinde kitu bila kujali kama yeye hatoshinda pia and vice versa. Conte alifukuzwa kwa hili alilofanya Ange, so tusubiri kuona ikiwa Tottenham wataona aibu na kujirudi au watamfungashia virago Ange.
Loser mentality zipo kwa midtable teams mara nyingi, atafurahia kusuluhu au usipomfunga magoli mengi. Wewe upo ulimwengu mwingine kabisa yeye yupo busy kufuatilia unacheza na nani next game. Atatoa ubashiri pale, haitakua anavyotaka. Atakunywa K Vant kutuliza hasira, atajichua kidogo. Kisha anarudi tena kuleta ubashiri mpya au kuandika utumbo mpya.
Lolote litakalomjia kichwani muda huo.
Kwa kiasi fulani, ndiyo. Ukiangalia hayo mambo amefanya huku akipambana na mambo ya kukosa wachezaji muhimu kwake, huku akijitahidi kupunguza wasio na manufaa (Ozil, Aubameyang, Tierney, Bellerin, Maitland-Niles...).
Yaani, kama makocha wote tu kwenye ligi, anafanya hayo huku akijitahidi kujenga timu inayomfaa kila msimu.
Mfano, unaona kawaleta Rice na Kai baada ya Xhaka kuondoka. Anajua ana mmoja wa makipa bora kabisa kwenye ligi, Ramsdale, lakini bado akamleta Raya, na Raya kadaka Golden Glove. Hii inaonesha kuwa dogo anataka kuimarisha kila sekta awezayo kadri awezavyo.
Kazi ipo kwenye kuleta wachezaji bora na bora zaidi kila msimu. Akifanya vizuri na kuendelea kuingia michuano ya Ulaya, atazidi kuvutia wachezaji wazuri.
Then linakuja suala la mbinu uwanjani. Ni wazi kwamba kwa mchezaji mmoja mmoja, Arteta hana akina Watkins, Doku, KdB, Olise, nk,. baadhi ambao wangeanza mbele ya wachezaji wake alionao , ila ukiangalia jinsi alivyowatumia alio nao, unaona ni kocha aliye vizuri kidogo kimbinu. Na factor ya mbinu ni muhimu maana ndiyo moja ya vitu vinavyotenganisha mafuta na maji kwenye hili game.
Kwa sasa arsenal tunahitaji wachezaji walio bora, mchezaji ambae anaweza ingia kwenye kikosi chochote duniani..Kwa kiasi fulani, ndiyo. Ukiangalia hayo mambo amefanya huku akipambana na mambo ya kukosa wachezaji muhimu kwake, huku akijitahidi kupunguza wasio na manufaa (Ozil, Aubameyang, Tierney, Bellerin, Maitland-Niles...).
Yaani, kama makocha wote tu kwenye ligi, anafanya hayo huku akijitahidi kujenga timu inayomfaa kila msimu.
Mfano, unaona kawaleta Rice na Kai baada ya Xhaka kuondoka. Anajua ana mmoja wa makipa bora kabisa kwenye ligi, Ramsdale, lakini bado akamleta Raya, na Raya kadaka Golden Glove. Hii inaonesha kuwa dogo anataka kuimarisha kila sekta awezayo kadri awezavyo.
Kazi ipo kwenye kuleta wachezaji bora na bora zaidi kila msimu. Akifanya vizuri na kuendelea kuingia michuano ya Ulaya, atazidi kuvutia wachezaji wazuri.
Then linakuja suala la mbinu uwanjani. Ni wazi kwamba kwa mchezaji mmoja mmoja, Arteta hana akina Watkins, Doku, KdB, Olise, nk,. baadhi ambao wangeanza mbele ya wachezaji wake alionao , ila ukiangalia jinsi alivyowatumia alio nao, unaona ni kocha aliye vizuri kidogo kimbinu. Na factor ya mbinu ni muhimu maana ndiyo moja ya vitu vinavyotenganisha mafuta na maji kwenye hili game.
Broo nisamehe sana sijui nilighafilika nini mpaka nikasahau kumuweka dogo janja Chamberlain kwenye orodha.Kaka nina ombi moja kwako! Naomba uniwekee na Picha za Alex-Oxlade Chamberlain baada ya kuondoka Arsenal.
Natanguliza Shukurani
Sasa unalialia nini mambo ya kawaida haya. Steven Gerrard aliwai kumpa pasi drogba ili Chelsea wasinde na united wakose ubingwa.Nilikua naangalia press conference ya Ange baada ya mechi jamaa anaonekana amekasirika vibaya mno. Anaongelea juu ya misingi ndani ya timu kua legelege akaulizwa hilo swala kaona nje ya timu au ndani ya timu akajibu kote.
This means Ange focus yake ni ushindi ila timu haina huo utamaduni, kwao mafanikio ya msimu ni kumaliza juu ya Arsenal au Arsenal asipochukua ubingwa. Makocha wawili waliopita Jose na Conte wote waliongelea hilo swala kwamba "Timu haina winning mentality"
Conte alienda mbali akasema labda hii ni historia ya Tottenham. Lakini hili swala la misingi Jose alilisema akiwa na nyumbu pia, mwingine aliyeongelea misingi ya nyumbu ni Zlatan, Pogba na Cristiano.
Kama Bongo, mafanikio ya Simba ni Yanga asishinde kitu bila kujali kama yeye hatoshinda pia and vice versa. Conte alifukuzwa kwa hili alilofanya Ange, so tusubiri kuona ikiwa Tottenham wataona aibu na kujirudi au watamfungashia virago Ange.
Loser mentality zipo kwa midtable teams mara nyingi, atafurahia kusuluhu au usipomfunga magoli mengi. Wewe upo ulimwengu mwingine kabisa yeye yupo busy kufuatilia unacheza na nani next game. Atatoa ubashiri pale, haitakua anavyotaka. Atakunywa K Vant kutuliza hasira, atajichua kidogo. Kisha anarudi tena kuleta ubashiri mpya au kuandika utumbo mpya.
Lolote litakalomjia kichwani muda huo.
Mimi nachojua kitendo cha Arsenal kuanza kucheza game harafu mpinzani ndio anafata hio Ni advantage kubwa Sana ....Ifike hatua tukubaliane Epl walau kuanzia mechi 3 za mwisho kuelekea msimu kuisha ziwe zinachezwa kwa muda sawa.
Hii itasaidia kuongeza ushindani katika ligi na kuepusha uelekea wa maamuzi ya matokea ya baadhi ya mechi.
Waiweke katika kanuni zao kabisa bila kujali hali msimamo wa ligi.
Nawaza pengine hizi game 3 za mwisho zingekuwa zinafanyika kwa namna hiyo, mbali na kuleta msisimko lakini zingweza kuwa na matokeo tofauti.
Unawinda visababu vya kua na chuki unavikosa inabidi uwe na gubu sasa.Sasa unalialia nini mambo ya kawaida haya. Steven Gerrard aliwai kumpa pasi drogba ili Chelsea wasinde na united wakose ubingwa.
Everton waliwahi kumuuzia mechi Guardiola ili Liverpool tusiwe mabingwa. Nyie mlitegemea kabisa mchukue ubingwa kwa msaada wa spazi mnaowatukana kila siku??
Shindeni mechi zenu zote msimu ujao muone kama hamtakuwa mabingwa.Unawinda visababu vya kua na chuki unavikosa inabidi uwe na gubu sasa.
This is me kwenye webistes zingine nikiongelea juu ya hiyo game. Ni sawa na nilivyojibu wengine humu kwamba acha City ishinde.
View attachment 2991757