utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,657
Duh,leo hapa nilipo nina machungu ya Yanga ila naamini arsenal wataniondolea.....
Usijali leo tunatashinda ila hautakua ushindi rahisi kama wa galatasaray, leo mstari wa mabeki wengi ni majeruhi.....