Ari zaidi nguvu zaidi na kasi zaidi

bagwell

Senior Member
Sep 19, 2012
113
25
Hongereni viongozi wa Nchi hii kwa kuonesha ari zaidi za kufanya maisha yazidi kua magumu na hogereni sana kutumia nguvu zaidi kwa kuua watu na hogereni sana kwa kutumia kasi zaidi ya kuwanyima Raia haki yao ya kuchagua kiongozi wanaemtaka(BUBUBU), mana nimeamini ule usemi wa hawa CCM kua Bila CCM Imara...............sawa nimeamini ila ipo siku mutajua kma sisi ni nani?.....mna tumechoka na udhalilishaji wenu tumechoka na uonevu wenu tumechoka na ahadi hewa tumechoka na kuuziwa ajira hewa tumechoka kuongozwa na viongozi wala rushwa tumechoka yaani tumechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hongereni viongozi wa Nchi hii kwa kuonesha ari zaidi za kufanya maisha yazidi kua magumu na hogereni sana kutumia nguvu zaidi kwa kuua watu na hogereni sana kwa kutumia kasi zaidi ya kuwanyima Raia haki yao ya kuchagua kiongozi wanaemtaka(BUBUBU), mana nimeamini ule usemi wa hawa CCM kua Bila CCM Imara...............sawa nimeamini ila ipo siku mutajua kma sisi ni nani?.....mna tumechoka na udhalilishaji wenu tumechoka na uonevu wenu tumechoka na ahadi hewa tumechoka na kuuziwa ajira hewa tumechoka kuongozwa na viongozi wala rushwa tumechoka yaani tumechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Pole kwa uchovu mkuu
 
Hongereni viongozi wa Nchi hii kwa kuonesha ari zaidi za kufanya maisha yazidi kua magumu na hogereni sana kutumia nguvu zaidi kwa kuua watu na hogereni sana kwa kutumia kasi zaidi ya kuwanyima Raia haki yao ya kuchagua kiongozi wanaemtaka(BUBUBU), mana nimeamini ule usemi wa hawa CCM kua Bila CCM Imara...............sawa nimeamini ila ipo siku mutajua kma sisi ni nani?.....mna tumechoka na udhalilishaji wenu tumechoka na uonevu wenu tumechoka na ahadi hewa tumechoka na kuuziwa ajira hewa tumechoka kuongozwa na viongozi wala rushwa tumechoka yaani tumechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mnalamu serikali kuhusu rushwa wakati watumishi wa hiyo serikali ndio nyie wenyewe, au watumishi wote katika hii nchi ni CCM. Hii ni tabia ya mtanzania, kazi haifanyiki bila kitu kidogo.
 
Hongereni viongozi wa Nchi hii kwa kuonesha ari zaidi za kufanya maisha yazidi kua magumu na hogereni sana kutumia nguvu zaidi kwa kuua watu na hogereni sana kwa kutumia kasi zaidi ya kuwanyima Raia haki yao ya kuchagua kiongozi wanaemtaka(BUBUBU), mana nimeamini ule usemi wa hawa CCM kua Bila CCM Imara...............sawa nimeamini ila ipo siku mutajua kma sisi ni nani?.....mna tumechoka na udhalilishaji wenu tumechoka na uonevu wenu tumechoka na ahadi hewa tumechoka na kuuziwa ajira hewa tumechoka kuongozwa na viongozi wala rushwa tumechoka yaani tumechokaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Bagwell:
Join Date : 19th September 2012
Posts : 13
Rep Power : 303
Likes Received 4
Likes Given 0

Aisee kaka(au dada) pole na kazi. yaani leo umeanza na posts 13 tayari!!!! Na siku bado kwisha!!
 
Back
Top Bottom