hahah ukikidhi vigezo nakupa na namba yake kabisa naenda kukutambulisha kwake na mke wake mpya.
I know what i want and I know how to get it, u r defenetely not the one im looking for so please excuse me.Una watoto wawili, huoni kama umeshachoka kinyama?, maana kama ni utamu watu walishanyonya wote, hebu dhibitisha hapa huyo unaemtafuta kukuoa atafaidi nini hasa kutoka kwako?. Lakini pia wewe kwa sasa ni used already, kwa masharti kibaooooo kama hayo nani wa kupoteza muda na wewe?, labda makenge tu ndo wanaoweza kuoa mwanamke aliyezaa tayari.
ww umepinda hahahMimi sikwalifai kwenye namba mbili tu (living alone). However hasebu zangu za chekechea zinaniambila kwa kukwalifai kwenye kumi zilizobaki
(10/11 x 100%)= 90.0%
naona nimeifunikia mbali minimum yako ya 80%. Nisuburi PM...
karibu PM basi! hAHAHkwenye hiyo checklist nimepata zote, na nina ziada mbili
I know what i want and I know how to get it, u r defenetely not the one im looking for so please excuse me.
akili na muonekano wako vimefanana na post yako. what u say about others reflects who you are and not who they are. read carefully and between the linesNatafuta wa kunisukumia ujana just for 5 yrs, then natafuta mwingine serengeti boy wa kumlipa amalizie 5 yrs. Hapa nitakua 40 na nyege zitakua zimepungua sana, natulia na wanangu. Nikihitaji mara moja moja sikosi wazee wenzangu.
Haya ndio mawazo uliyo nayo. Kila la kheri
usiwe na wasiwasi erotica, CG hajatimiza vigezo kashachujwa tayariCool Gentleman umemuona destiny1? kama hujamuona bora,
nahisi kupikuliwa. anaonekana ana sifa zote ulizo list.
pm ujieleze hahahkama nimefikia vigezo vyote ndo inakuwaje sasa?
Cool Gentleman umemuona destiny1? kama hujamuona bora,
nahisi kupikuliwa. anaonekana ana sifa zote ulizo list.
karibu PM basi! hAHAH