mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,718
Mkuu kwenye mambo ya loan yapo kama bahati nasibu,ukipwa 70% shukuru,ukipewa 100% ruka ruka
aruke ruke kuelekea udasa o m cty
Mkuu kwenye mambo ya loan yapo kama bahati nasibu,ukipwa 70% shukuru,ukipewa 100% ruka ruka
Interior ipo upande wa architecture bt for interior designing... Kwa uelewa kidog ni nilionao japo sisomi hiyo koz ni kwamb ina deal how interior system ya any building iweje.general archtects wao ni nje na ndan pia...kwa idea kidogo hyo.ajira sijui..cha msingi kila koz kina ajira
Kwa ushauri tu, usipende kuzungumzia mada kama hizi kama huna uelewa nazo!!
aruke ruke kuelekea udasa o m cty
kwa kifupi interior design wamebase kwenye kudesign mwonekano wa ndani wa structure. kuna wengine ambao wamebase kwenye landscape. Ila kama una uwezo kasome architecture ya miaka mitano!!!Toa mawazo basi kuhusiana na hiyo kozi mkuu!!
Sorry kwa usumbufu kaka, tusaidie!
Sasa ulitak nisemej kuusu ilo..kwa kidog kilichopo unamsaidia mtu.kama uko vizur rekebisha au ongeza..
Kwa fani gani??
Nimechagua environmental Eng na Municipal and Industrial Eng...... Lakini nikifika nataka nibadilishe niingie Civil Eng.
Jaman nashkuru kwa machache kuhsu Aridh i lke such university..nakuja mwenzio
Umeaapply?? Pia kuna competition kubwa sana coz huwa hakichukui watu wengi sana
Chuo Ardhi ni moja kati ya vyuo vyenye course nzuri ambazo ni marketable ila fahamu tu ni miaka minne mpaka mitano uko darasani, course za miaka 3 zipo tatu tu, BSc. Economics, BSc Community Development ,,,,,,,,
Kwahiyo ni kusoma kwa kwenda mbele. Muda mwingi utakuta vijana wako madarasani mpaka usiku wa manane wakichora na wakati mwingine asubuhi inakukuta darasani.
Vijana wengi wamekuwa wakifanikiwa sana, hakuna anayekosa kazi, labda uwe umefeli na hukumaliza course yako. Ukadisco.
Karibuni sana
M nimechaguliwa BAF,Vp gharama za mwanzo ambazo napaswa kuwa nazo nikija kuripoti?.Naomba mchanganuo wake kwa anaejua.plizz!
Hzo n za kulipia nn na nn?
Nimechaguliwa interior design nataka nihamie archtecture (ARU).........KWA anayejua procedures msaada jaman