Ararua nguo zake hadharani alipogundua mumewe anaisaliti NDOA

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Bi Elizabeth Edward ambaye ni mke wa aliyekua mgombea wa Urais wa USA BW John Edward kua ana kimwana kingine chenye umri wa miaka 30 tu,
Bi Elizabeth ambaye anasumbuliwa na saratan ya titi licha ya kurarua nguo alizovaa,alizirai alipobain kuwa kimada wa mumewe ni mjamzito,
Edward alifikishwa mahakama m0ja huko North Carolina sio tu kujibu shutuma hizo,ila pia kujibu kesi ya MATUMIZI MABAYA YA PESA ZA KAMPENI NA KIMADA WAKE,BADALA YA KUWEKEZA KWENYE KAMPENI,
ENDAPO JOHN ATAKUTWA NA HATIA YA MASHTAKA HAYO ATAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA AU FAINI DOLA ZA KIMAREKANI MIL 1.5.
Sosi,bibisi swahili
 
Bi Elizabeth Edward ambaye ni mke wa aliyekua mgombea wa Urais wa USA BW John Edward kua ana kimwana kingine chenye umri wa miaka 30 tu,
Bi Elizabeth ambaye anasumbuliwa na saratan ya titi licha ya kurarua nguo alizovaa,alizirai alipobain kuwa kimada wa mumewe ni mjamzito,
Edward alifikishwa mahakama m0ja huko North Carolina sio tu kujibu shutuma hizo,ila pia kujibu kesi ya MATUMIZI MABAYA YA PESA ZA KAMPENI NA KIMADA WAKE,BADALA YA KUWEKEZA KWENYE KAMPENI,
ENDAPO JOHN ATAKUTWA NA HATIA YA MASHTAKA HAYO ATAHUKUMIWA MIAKA 30 JELA AU FAINI DOLA ZA KIMAREKANI MIL 1.5.
Sosi,bibisi swahili

Hiyo tafsiri yako nadhani imepitwa na wakati
Swala la Edward na mke wake lilikwisha zamani na huyo mama ameshatangulia mbele ya HAKI -walitambua hilo,
 
Kesi ya edward haijaisha mkuu,na mashahid akiwemo msemaj wa Edward ametoa ushahidi mahakama 1 huko n0rth Caroline
Hiyo tafsiri yako nadhani imepitwa na wakati
Swala la Edward na mke wake lilikwisha zamani na huyo mama ameshatangulia mbele ya HAKI -walitambua hilo,
 
inawekana huyo mama nae ni mzinzi kuliko huyo jamaa yake, ana pretend tu huyo
 
Kesi ya edward haijaisha mkuu,na mashahid akiwemo msemaj wa Edward ametoa ushahidi mahakama 1 huko n0rth Caroline

Nilichokisema mke aliyetendwa ameshatangulia mbele ya haki, sasa unayesema kararua nguo ni yupi/ Ni kimada au Marehemu????????
 
Nilichokisema mke aliyetendwa ameshatangulia mbele ya haki, sasa unayesema kararua nguo ni yupi/ Ni kimada au Marehemu????????

shahidi ameiambia mahakama jinsi huyo marehem alivorarua nguo kwenye maegesho ya uwanja wa ndege mmoja huko u.s.a,baada ya kugundua mumewe ni msaliti!
Na mzozo ulianzia walipokua wakifanya shoping mahali
 

Oh Yes!! Watch and take care on emotional parasites ... with 80% of breast/cervical CAs ... there is indirect history of deep rooted crisis in man woman relations ... !! ... Wakina Mama take it easy, samehi, no much kinyogo na misingo moyoni etc ... Itawarudi nyie na Wababa wanadunda na Dogo dogo!!
 
huyo mke wake alishakufa siku nyingi....aliyoyafanya huyo jamaa kweli inasikitisha bt mke wake alikua anaumwa siku nyingi kwa hiyo labda alikua hapati sex kwa mke wake...sasa mwanaume atakaa hivi hivi bila nyuchi wakati jamaa interns wake ni visichana vizuri na vilivyoenda shule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom