TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
na we uliwahi kuchapwa nini??? naona wasema kiuhakika zaidi,,,
Teh teh!!waswahili wanasema asifiaye mvua,imemnyeshea!!sitaki kumjibia tumuache ajibu mwenyewe!!
na we uliwahi kuchapwa nini??? naona wasema kiuhakika zaidi,,,
una uhakika gani???
na wewe mtoa mada kwanini usiweke mmasai ukaweka mwarabu.... hebu nijuze mna matani na warabu nyie,,,, mbona nyie hamuyataki,,
Mh!nafikiri mila na desturi ni ushahidi tosha,na hasa ukizingatia wenzetu wana maswala ya sunnah,hivyo ulaji wa tigo ni kitu cha kawaida kwao!!
Mh!nafikiri mila na desturi ni ushahidi tosha,na hasa ukizingatia wenzetu wana maswala ya sunnah,hivyo ulaji wa tigo ni kitu cha kawaida kwao!!
Poa mtu wangu,nashukuru sana,tupo pamoja !!
Usiwe na hofu, hii ni joke tu NILHAM RASHED, Japo utani una maana pia. Wamasai hawana hiyo kitu
hata sisi wakandamizaji hatuna
i cant blame you...... ntakachokifanya ni kukuombea kwaa allah akuzibue fham zako na kukufumbua macho yako.... kikawaida yangu wallah huwa siwezi kubishana kwa mambo ya kipuuzi.... while kitu sahihi nakifaham mimi mwenyewe... allh akusameh..
Jiombee mwenyewe na mizigo yako ya dhambi,ya kwangu niachie mwenyewe kwa kuwa kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe.Sihitaji sara zako!!
mmmmxxxxyyyymmmsss........... sasa we ukaona arabs ndio wanayo mambo hayo.... haya allah akusameh.... na wewe pia ni miongoni mwa waaaleee....................
sasa ni kuulize wewe shekhe mjua sunnah,,,,,, kula tigo pia ni sunnah,,,,,??? na sunnah hiyo ulianza kuifanya wewe nini?? rabbi ghufirli warahamni.... ina lillah waina illah rajiun...
Nisamehe kwanza wewe, ukinisamehe hata Allah atanisamehe mara moja.
Usininipige kamba jamani hii ni joke tu, pls NILHAM nitakosa amani ukinichukia, hebu sema neno basi nipate kupumua vizuri zaidi.
Mimi sio shekhe na wala sihitaji kuwa shekhe katika maisha yangu!!
Sidhani kama tunagombana,nachojua mimi ni mgongano wa mawazo tu!usichukie pale unapoona kitu au hoja haijakufurahisha.Kuna baadhi ya hoja nimezijibu,ingawa sikuuliza lengo langu ikiwa ni kuchangamsha mjadala,lakini ulivyonijibu haikuwa vizuri kwakweli.Mimi sina kinyongo na wewe nachojua tupo hapa kubadilishana mawazo!!sasa basi acha kusema usichokifahamu..... in short tuku tuku sipendi wala sijawah kugombana na mtu katika chating,,,, beside hal yangu hainiruhusu,,,, i'm sick...
Sidhani kama tunagombana,nachojua mimi ni mgongano wa mawazo tu!usichukie pale unapoona kitu au hoja haijakufurahisha.Kuna baadhi ya hoja nimezijibu,ingawa sikuuliza lengo langu ikiwa ni kuchangamsha mjadala,lakini ulivyonijibu haikuwa vizuri kwakweli.Mimi sina kinyongo na wewe nachojua tupo hapa kubadilishana mawazo!!
Kuna joke moja niisoma kwenye gazeti la The African, miaka mingi kidogo(1990s) juu ya lafudhi za ndugu zetu waarabu. Mwarabu alifika uwanja wa ndege Uingereza na akawa anaulizwa na Afisa Uhamiaji sababu ya yeye kenda Uingereza. Akajibu " I am a Tourist, lakini akatamka kama vile mtu aliyesema-I am a terrorist", Of course walivyokuwa hawamuelewi akaonyesha " bunda la Dollars na kusema -I have come to Sbend (akimaanisha to Spend).
Huko nje alikodi kari , sasa alipotaka kuvuta sigara, akamuuliza polisi kama anaweza kupaki gari sehemu hiyo, lakini akatamka, Can I bark here? (badala ya park) Polisi akamjibu " as much as you can! japo polisi akashangaa mbona jamaa habweki kama alivyoomba?
Nilha -usije juu just jokes!
Waarabu cha mtoto bana...piga chabo pale italia, ufaransa we acha tu...hata makasisi wa roma wameiga huko!! hadi wanapigania kuchakachua sheria ya useja - celibacyhayo ndo mambo ya waarabu eh hatari
Mambo ya lugha hayo, si mchezo ukishindwa unatumia hata lugha pichaKuna joke moja niliisoma kwenye gazeti la The African, miaka mingi kidogo(1990s) juu ya lafudhi za ndugu zetu waarabu. Mwarabu alifika uwanja wa ndege Uingereza na akawa anaulizwa na Afisa Uhamiaji sababu ya yeye kwenda Uingereza. Akajibu " I am a Tourist, lakini akatamka kama vile mtu aliyesema-I am a terrorist", Kimbembe chake, polisi wakaitwa wakajaa ! Alishangaa akaona hawamwelewi, akatambua hilo akaonyesha " bunda la Dollars na kusema -I have come to Sbend (akimaanisha to Spend). Wakajua ni mtalii!
Huko nje alipoanza safari alipotaka kuvuta sigara, akamuuliza polisi kama anaweza kupaki gari sehemu aliyofika, lakini akatamka, Can I bark here? (badala ya park) Polisi akamjibu " as much as you can! Jamaa akapaki akapiga pafu-japo polisi akashangaa mbona jamaa habweki kama alivyoomba?
Nilha -usije juu just jokes!