Mbomozo
JF-Expert Member
- Dec 23, 2019
- 365
- 954
Hii Salute Ndg zangu.
Kama mida ya saa 7 mchana Leo nimepokea SMS na Email ya invitation kuja Dar kwenye Aptitude test ya TCB kada tajwa hapo juu. But kutokana na kutingwa na majukum upande wangu sidhan kama nitahudhuria.
Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha waliopewa taarifa ya aptitude test invitation kupeana insights ili mambo yaende na Kongole Kwa ambao wata land hio opportunity
Wasalaam.....
Kama mida ya saa 7 mchana Leo nimepokea SMS na Email ya invitation kuja Dar kwenye Aptitude test ya TCB kada tajwa hapo juu. But kutokana na kutingwa na majukum upande wangu sidhan kama nitahudhuria.
Lengo la uzi huu ni kuwakutanisha waliopewa taarifa ya aptitude test invitation kupeana insights ili mambo yaende na Kongole Kwa ambao wata land hio opportunity
Wasalaam.....