Apigishwa mbizi kwenye dimbwi la maji ya barabarani kwa kukutwa katinga sare za jeshi

Unajua sheria au unaongea tu... bila sisi wewe saiv usingsema ayo.. tunairinda hii nchi kwa damu zetu panya wewe na shule nmesoma kuliko wewe.... raia lazima umuadabishe na kama unajua sheria katushtaki

Kwa kauli zako hizi ni wazi kabisa either wewe sio mwanajeshi bali uliwai kupitia tu mafunzo ya mgambo ulipofundishwa nyuma geuka mbele tembea ukaanza kujiona na wewe mwanajeshi tayari kama sio hivyo basi wewe ni ushahidi tosha kwamba nikosa kubwa kwa majeshi yetu kuajili form four failure kama wewe..
 
Kwa kauli zako hizi ni wazi kabisa either wewe sio mwanajeshi bali uliwai kupitia tu mafunzo ya mgambo ulipofundishwa nyuma geuka mbele tembea ukaanza kujiona na wewe mwanajeshi tayari kama sio hivyo basi wewe ni ushahidi tosha kwamba nikosa kubwa kwa majeshi yetu kuajili form four failure kama wewe..

Sawa mkuu kama m ni failure... nmepitia kero nyingi sana nkazishinda hisia zangu ndo maana nkakabithiwa silaha za moto na sikuwa zitumia vibaya.. hongera kwa kufaulu kwako
 
Mimi nampongeza sana huyu mwanajeshi kwa alicho kifanya!
Watanzania tunamchezo wa kuulizia sheria baada ya matukio lakini tukiwaona wana vaa huwa hatuulizii kuhusu sheria!

Mi nimefurahishwa sana na hatua ya kumshikisha adabu huyu kijana!
Nakumbuka kuna kipindi huu mtindo wa kuvaa sare au nguo zinazo fanana na za jeshi la wananchi ulipigwa marufuku lakini naona umeanza kurudi kwa kasi!

Huyu aliyepigishwa mbizi awe somo kwa wote wanaopenda kutumia nguo za jeshi la wananchi au nguo zinazofanana na hizo!
Watanzania huwa hatuulizi sheria tunapo chukua sheria mkononi tunapo piga watu tunaodhani ni wezi hadi kuwauwa!

Bahati mbaya zaidi wengine wamekuwa wakizitumia kufanya matukio ya kuhatarisha amani hasa ujambazi!

Kama mtu anapenda hayo mavazi ni vyema akajiunga na jeshi la wananchi na akavae vizuri!

Hongera sana Askari wa jeshi la wananchi maana wengi wamejifunza kupitia zoezi ulilo mpa huyo kijana hongera sana!

Naomba na hawa muanze kuwafatilia ili nao wapate ili zoezi!

Huu ni ujinga wa mwisho.... Watz tunaburuzana mpaka tumekubali kama haya ndio mazingira tunayostahili kuishi...Poleni sana wajinga wa fikra na akili...
 
High Vampire, acha kusingizia haki za binadamu wakati yeye mwenyewe kavunja sheria kwa kuvaa nguo isiyotakiwa akiwa kama raia. Huu wimbo wa haki za binadamu usipoimbwa kwa utaratibu saa zingine ni upumbavu.

Ina maana yeye hapo Kkoo aliona nguo inayomfaa madukani kote ni hiyo ya jeshi tuu.. Angemwamrisha ayanywe pia hayo maji sio kuoga tu. Pamabav sana, usiku hawa ndo wanatuibia wakiwa na sare za jeshi.,

Pumbavu mkubwa wewe...Hujui kama hata mtuhumiwa anakuwa hana kosa mpka mahakama ya sheria ,kuthibitisha kosa la mtuhumiwa. Nchi hii imekosa baraka za M.Mungu kila mtu yuko tayari kukandamiza haki ya mwengine.
 
Uwingi wa nguo za kila aina na bado unavaa sare za jeshi.Adabu lazima ifuate mkondo,safi sana mjeshi.

Ikija tokea tukio la ujambazi la watu walio vaa sare za jeshi.Kama kawaida tutalalamika sana.wapi hawa wamepata sare?Labda wajambazi ni wajeshi vilevile?NAAMIN YOTE INAFANYIKA KWA USALAMA WA WATU WOTE

Inawezekana wewe Kuruta ndio maana unaongea uharo wa namna hii, sheria zenu ndio zinasema akikamatwa ndio mnamdhalilisha namna hiyo? Kwanini usimchukue na aende kueleza nguo kazipata kwa nani!
Bahati yenu mnakutana na wajinga wajinga ndio maana mnawadhalilisha, mie ufe wewe nife mimi huwezi niogesha kwenye Maji machafu hata muwe kumi.
 
Inawezekana wewe Kuruta ndio maana unaongea uharo wa namna hii, sheria zenu ndio zinasema akikamatwa ndio mnamdhalilisha namna hiyo? Kwanini usimchukue na aende kueleza nguo kazipata kwa nani!
Bahati yenu mnakutana na wajinga wajinga ndio maana mnawadhalilisha, mie ufe wewe nife mimi huwezi niogesha kwenye Maji machafu hata muwe kumi.

Raia siku zote wepes sana kupanic... mpaka unaona mtu kavaa zile gwanda jua kashaogelea sana tope, madimbwi machafu na kero zengne nying sana, kavumilia pasipo uonesha utovu wa nidham kazivaa so hazikuhusu usivae.
 
Raia siku zote wepes sana kupanic... mpaka unaona mtu kavaa zile gwanda jua kashaogelea sana tope, madimbwi machafu na kero zengne nying sana, kavumilia pasipo uonesha utovu wa nidham kazivaa so hazikuhusu usivae.

Ndio msome muingie chuo na degree sio form four Kuruta km ww lazima uoge sana tope na wanaofanya hivi wote ni Kuruta tuu.
 
Sawa mkuu kama m ni failure... nmepitia kero nyingi sana nkazishinda hisia zangu ndo maana nkakabithiwa silaha za moto na sikuwa zitumia vibaya.. hongera kwa kufaulu kwako

nahisi post hiyo imakupiga penyewe maana umekua mdogo sana kama kidonge, umeacha maneno yako ya dhihaka na matusi kwa wachangiaji.
siku zote ukijiheshimu nawe utaheshimiwa kwa namna ulivyokua unachangia hoja zako ni wazi kabisa kiwango chako cha elimu ni cha chini sana ndio maana ukakimbilia jeshini maana ndio kimbilio la watu wa aina yako na kwa kweli nyie ndio wanajeshi wachache pamoja na huyo mwenzio mnaochafua sifa nzuri ya jeshi letu la wananchi na kama kweli we mjeda umesoma basi hujaelimika kabisa na kazi za shurubu kama za jeshi ndio zinakufaa maana huku uraini ungetusumbua tu.
Unamwezi na nusu tu tangu umejiunga JF lakini ushaanza tukana watu na kutoa maneno ya kajeli sasa ukikaa mwaka humu si itakuwa shida ndugu

USHAURI: Afande jitahidi kutembelea mara kwa mara jukwa la elimu na hata la intelejensia pengine unaweza anza kueleimika kupitia JF
 
nahisi post hiyo imakupiga penyewe maana umekua mdogo sana kama kidonge, umeacha maneno yako ya dhihaka na matusi kwa wachangiaji.
siku zote ukijiheshimu nawe utaheshimiwa kwa namna ulivyokua unachangia hoja zako ni wazi kabisa kiwango chako cha elimu ni cha chini sana ndio maana ukakimbilia jeshini maana ndio kimbilio la watu wa aina yako na kwa kweli nyie ndio wanajeshi wachache pamoja na huyo mwenzio mnaochafua sifa nzuri ya jeshi letu la wananchi na kama kweli we mjeda umesoma basi hujaelimika kabisa na kazi za shurubu kama za jeshi ndio zinakufaa maana huku uraini ungetusumbua tu.
Unamwezi na nusu tu tangu umejiunga JF lakini ushaanza tukana watu na kutoa maneno ya kajeli sasa ukikaa mwaka humu si itakuwa shida ndugu

USHAURI: Afande jitahidi kutembelea mara kwa mara jukwa la elimu na hata la intelejensia pengine unaweza anza kueleimika kupitia JF
Maneno yako mepesi tu... ila elimu. Nlonayo mm wewe huna.. na n mwanajeshi... ndani ya miaka kumi ijayo amini mm level yangu itakuwa juu sana
 
Maneno yako mepesi tu... ila elimu. Nlonayo mm wewe huna.. na n mwanajeshi... ndani ya miaka kumi ijayo amini mm level yangu itakuwa juu sana

nime prove wewe ni mburura nambari wani...tatizo JWTZ wamejaa form four failures kama wewe
 
nime prove wewe ni mburura nambari wani...tatizo JWTZ wamejaa form four failures kama wewe

Sikuwahi ingia jf kwa lengo la kuonesha kwamaba mm nko smart kuliko wengne... npo hapa kuandika nachojisikia sasa nachoandika mm kikikufanya we unione mburula it is your problem, not mine, na chochote unachoongea hakina impact yeyote kwangu hunijui hata nafananaje, neither do i!
 
IMG-20141014-WA0003.jpg


Askari wa jeshi la Wananchi la Tanzania (JWTZ) akimwadhibu kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja, kwa kumpigisha mbizi kwenye dimbwi la maji ya barabarani baada ya kukutwa akiwa ametinga sare za Jeshi la Wananchi huku akipiga misele mitaani wakati akitambua kuwa yeye si askari ni raia wa kawaida.

Kijana huyo alikutana na adhabu hiyo kali kutoka kwa mjeda huyo baada ya kumbaini kuwa si askari halisi ya jeshi la Tanzania wakati alipokamatwa na kushindwa kutoa maelezo ya kuridhisha kuhusiana na swala zima la kijeshi, na hapo ndipo alipoanza kuamuliwa kuvua mavazi hayo na kisha kuaza kutumikia adhabu hiyo.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni maeneo ya Kariakoo jijini Dar es Salaam.

IMG-20141014-WA0000.jpg


Kijana akiendelea kutumikia adhabu ya kupiga mbizi. Picha na Kamanda wa Matukio Blog.Mia

hyo mwanajeshi naye hajui sheria kwanza haitakiwi uchkue sheria mkononi ukimkuta mtu kavaa sare za jeshi.. jamaa kakurupuka tu anafanyiaa sifa tu....tena hapo kwa picha sijui anawaita wenzake waje
 
Mwanajeshi anapata wapi mamlaka ya kutoa adhabu kwa raia. Hii ni kinyume cha sheria na kujichukulia sheria mkononi

Kujichukulia sheria mkononi ni jadi yetu!

Vibaka wanauliwa mchana kweupe huku kamera za vituo vya runinga vikerekodi na hakuna mtu anayechukuliwa hatua licha ya kuwepo ushahidi usio na shaka lolote lile.

Wadada wanavuliwa nguo , wanachaniwa nguo hadharani tena mchana kweupee, na kadhalika kisa tu wamevaa nguo ambazo kwenye mitazamo ya baadhi ya watu eti "zinakiuka maadili yetu".

Madhalimu yote hayo hutendeka hadharani na la kustaajabisha kuna idadi kubwa tu ya watu ambao huuona huo udhalimu kuwa ni sawa tu.

Kwa hiyo hata hao wanajeshi nao wanaakisi tu jamii nzima ilivyo kiujumla.
 
Ok poa, nimejaribu kugoogle, kumbe hata Marekani hairuhusiwi kwa raia kuvaa uniform za jeshi, jionee hapa:

Acha kamba wewe. Watu tunanyuka camo kuanzia kapelo hadi sneakers na hakuna harassment hata chembe tunayoipata.

Madukani camo gear zimejaa tele - kuanzia za vitoto vichanga hadi wazee, waume kwa wake, hata dog bibs zipo za camo.

Sasa wewe ni Marekani ipi unayoizungumzia? Marekani ninayoishi na niliyoishi mimi kwa miaka 20 au Marekani ya wapi hasa?

Wenzenu wanaposema U.S. army uniform wanakuwa wanamaanisha uniform zenye nembo kabisa ya jeshi la Marekani na si nguo yoyote ile yenye mabaka mabaka kama ya camo za kijeshi.

Hebu ingia hapo kwenye tovuti ya duka la Cabelas uone camo za kuwindia zinavyouzwa.
 
Back
Top Bottom