chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,949
Chagua jibu sahihiNadhani hakuna binadamu asiyekuwa na njaa. Labda we mwenzetu ni maraika
A. Maraika
B. Malaika
Chagua jibu sahihiNadhani hakuna binadamu asiyekuwa na njaa. Labda we mwenzetu ni maraika
Nchi za wenzetu kama Marekani bendera na jezi za jeshi lao, huvaliwa kizalendo na fahari. Kwetu ni mwiko ni sawa na watengeneza silaha vichochoroni hukamatwa kama waharifu na si wanasayansi. Tumelaaniwahata mimh nashangaa sana,,
Watanzania sijui tuna nini. Hili ilibidi limake headlines. Mzalendo kavaa jezi za jeshi kuonye uzalendo. WATANZANIA wako pembembeni wanashuhudia anavyodhalilishwa.
Akija OBAMA mama NTILIE wanatimuliwa wote.
SIJUI.
Nchi za wenzetu kama Marekani bendera na jezi za jeshi lao, huvaliwa kizalendo na fahari. Kwetu ni mwiko ni sawa na watengeneza silaha vichochoroni hukamatwa kama waharifu na si wanasayansi. Tumelaaniwa
Haki za binadamu,kitendo hiki kwa watu wastaarabu wangem-subject kwenye sheria. Wanajeshi wetu wengi na darasa la saba na form four. Sifa za kijinga sana hizi.
Na angekula kweli *****.... tunapata mateso ya hali juu kuwa souljers.... tukikupa bunduki raia usia na mafunzo utaua kila mtu... lakin sisi tunawagalagaza tu
Nchi za wenzetu kama Marekani bendera na jezi za jeshi lao, huvaliwa kizalendo na fahari. Kwetu ni mwiko ni sawa na watengeneza silaha vichochoroni hukamatwa kama waharifu na si wanasayansi. Tumelaaniwa
Tatizo Waarika wakiruhusiwa watatumia kufanyia uhalifu.
Ni lini Tz sheria zinafuatwa!!? Ila kwa huyu mwanajeshi ndo imekuwa nongwa, tatizo lenu mpo biased kweli, ingetokea kama mdau mmoja alivyoleta picha ya Nchemba ndo kapigizwa mbizi wengi wenu mngefanya sherehe ili tu kwa sababu imetokea kwa huyu mnapiga makelele, hivi unafikiri wakati huyu jamaa anafanyiwa yote haya si watu walikuwepo!!? Hawa watu walikuwepo kwa nini hawakutoa ripoti polisi ili huyo mtoa adhabu mwanajeshi achukuliwe sheria unayoiongelea!! Nyie ndo mnafuga maovu eti kisa sheria, huyu mwenzio katia adabu harudii tena
Ha Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaaaah, sasa ndo unagundua kuwa ni kuvunja sheria
Haaa watu nawaogopa sana sina matani nao hata kidogo
Mkuu dawa ya moto ni moto,ukijifanya unajua kuvunja sheria ujue kuna wanaume wanajua kuvunja sheria zaidi yAko.
No wonder siku wakikuambia inama utawainamia tuu wewe.
Kuna tofauti ya kumwogopa na kumheshimu mtu.
Jeshi lishakataza raia kuvaa nguo za jeshi au zenye alama ya jeshi anayejifanya kichwa maji sharti afunzwe kazi.
Haya, wale wanaotetea haki za binadam, tuwaone mkitetea haki ya huyu kijana kwa kuvunjiwa heshima na kuadhibiwa bila hukumu ya kisheria.
Siyo mnashobokea siasa tu.
Kama kila kosa litaenda mahakamani unafikiri magereza yatatosha,
na isitoshe wengine ni vijana wadogo ujana tu unawasumbua,wakionywa wanarekebishika,sasa we unataka huyo jamaa akanyee debe,na huko jela ikiamuriwa na mahakama kuwa afungwe unafikiri kuna raha.Acha mambo mengine yaishie hukuhuku mtaani.