Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
toa feedback bac bwan shem
wadada wengine bwana!! usipowafikisha wanalalama 'bwana wangu goigoi', ukiwafikisha wanalalama 'bwana wangu anatumia dawa'. it's a lose-lose situationMhh watu wazoefu!!!!! c mfanye mazoezi??mtasaidiwa na dawa mpaka lini???
kwa nini uchelewe kufika? Au ndo wale akidumbukiza tu kamwaga?
Bongo sasa hv zipo nyingi tu, almost kila duka la dawa muhimu na zinauzwa openly.
Mimi dukani kwangu nililazimika kuziweka baada ya wauliziaji kunisumbua kwa muda mrefu.
Ukienda pharmacy uliza ERECTO, au VEGA, kuna 50Mg na 100mg unajihukumu mwenyewe kutokana na pafomensi yako!
Mhh watu wazoefu!!!!! c mfanye mazoezi??mtasaidiwa na dawa mpaka lini???
mmmmhhhhhhhhh!
I have used cialis..
wadada wengine bwana!! usipowafikisha wanalalama 'bwana wangu goigoi', ukiwafikisha wanalalama 'bwana wangu anatumia dawa'. it's a lose-lose situation
Bongo sasa hv zipo nyingi tu, almost kila duka la dawa muhimu na zinauzwa openly.
Mimi dukani kwangu nililazimika kuziweka baada ya wauliziaji kunisumbua kwa muda mrefu.
Ukienda pharmacy uliza ERECTO, au VEGA, kuna 50Mg na 100mg unajihukumu mwenyewe kutokana na pafomensi yako!
Mambo? Naona umekua gold member (pun intended)wadada wengine bwana!! usipowafikisha wanalalama 'bwana wangu goigoi', ukiwafikisha wanalalama 'bwana wangu anatumia dawa'. it's a lose-lose situation
Wee naona uanichaji kama solar
Kwa kuanika juani