Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,623
- 112,690
,............................
ongeza wengine 4 ndo uweze wafanyia ana anadoonno wawili na huu ndo muda muafaka wa kubaki na mmoja
nno wawili na huu ndo muda muafaka wa kubaki na mmoja
Huu ni wakati mgumu kuliko nyakati zote nilizowahi kupitia katika maisha yangu....nashindwa kufanya choice who is the right man to marry, nahisi kosa dogo litaninyima raha maisha yote, nahitaji msaada.
hahahaaa ntaaply hii, thank u........Fanya hivi binti, Angalia vipaumbele vyako halafu viweke kwenye order ya preference mfano Uchumi , Elimu , Handsome, Family background, nk halafu wote unawatia kwenye kikaango cha 1-10 unaangalia nani ana score nyingi.
Mathematically hii ni okay lakini katika maisha ya kawaida bado unaweza kuingia choo cha kiume.Use it at your own risk sio kesho unakuja unalalamika "Oooooh maundumula nioe mke wa pili nimechemsha" mi sitaki bana
AHAHAAAAA...pole sana dadangu....hapa ndio utamu unapoanzia..na imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti...yafuatayo hapa ni madhambi uliyofanya n you have to pay accordingly my dear:-
1- umekuwa na mwanaume zaidi ya mmoja na kila mmoja umemuaminisha kuwa unampenda na yupo pekee maishani mwako
2- kila mwanaume ulenaye unampenda kwa vigezo tofauti alivyonavyo ukilinganisha na mwengine..say umenipenda mie coz nipo fresh kiuchumi na sivutii kuwa nawe na mwengine kisa ni handsome n caring but kachoka kiuchumi n u r scared kuwa naye ukihofia ugumu wa maisha
3- wewe ni kicheche ila unajificha katika kivuli cha mapenzi ya wizi na ya usiri kiasi hata wazazi wako hawkujui...."multiple personalities"
MY TAKE.... bora usiolewe na mmoja kati ya hao woote...go back to ur drawing board and come up wit a new concept for a real man u need in ur life...failure to do so means a life tyme regrets with sessions of sorrow n tears plus cheating and blahblahhhh.[/QUOT
teh teh teh uliza ujibiwe, sijamuaminisha mtu juu ya hili isitoshe wanajuana
ni kicheche na ndo maana muda wa kutulia umefika
ongeza wengine 4 ndo uweze wafanyia ana anadoo
nimeshafanya ana anadoo wakabaki hao wawili
ok hapo tumia fomula inaitwa MAGAZIJUTOnimeshafanya ana anadoo wakabaki hao wawili
hii nimeipendaanybody hayupo,akija atakushauri!kuwa na yule ambaye anakupenda zaidi, anakuthamini zaidi, anakuheshimu zaidianakuappreciate zaidianakutunza zaidi na anayekukuna zaidi!
hii nimeipenda
anybody hayupo,akija atakushauri!
Kuwa na yule ambaye anakupenda zaidi, anakuthamini zaidi, anakuheshimu zaidi
anakuappreciate zaidi
anakutunza zaidi na anayekukuna zaidi!