Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,110
- 37,645
Aaaah! Aaaah! Aaaah!
La Kijijini banaJicho gani?
Hili la mjini?
La Kijijini banaJicho gani?
Hili la mjini?
Ruiz anauraiaUS National anthem imekuaje hapa?
mwakinyo symptomsMbona wanaruka ruka tu??
huyo Joshua Leo ataomba kurudi abujaRound ya 3.
Haijarushwa ngumi hata moja. Hili pambano linakwwnda kuwa bovu. Joshua anakimbia tu ulingoni
AJ Selemani Saidi
Daah kweli mchezo wa ngumi umegeuka kua tamasha la vitukoRound ya 3.
Haijarushwa ngumi hata moja. Hili pambano linakwwnda kuwa bovu. Joshua anakimbia tu ulingoni
Tyson alikua anapiga ,,hawa Wa siku hizi wanapigànaEnzi za Tyson saa hizi pambano limeisha.
mwisho wa siku pambano linakuja kua Jecha typemwakinyo symptoms
ukiwa mkaidi utapigwa tu in "MIZENGO PIÑDA'S VOICEMhh pambano gumu manina
Kibonge mbishi. Huyu kibonge inabidi AJ awe mjanja mjanja akisema aende naye open game atapigwa tena arrggghhh 😬😬😬
Bado mambo magumu.Andy hatabirikii AJ anaweza kutandikwa round za mwishoPambano vipi wazee?. Nilisema AJ atawin. Niaje huko?
Daah kweli mchezo wa ngumi umegeuka kua tamasha la vituko
Imekuaje tena kampasua mwenzake jicho lakini anakimbia?
Au anamlia timing ammendee jicho lingine lililobaki?