n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Wadau,
Muda si mrefu ndugu Anthony Mwandu Diallo ametajwa kuwa mshindi wa nafasi ya Uenyekiti CCM mkoa wa Mwanza. William Ngeleja (msimamizi wa uchaguzi) amemtangaza rasmi.
More updates to follow...
* Kuna kituko kimetokea hapa, Mbunge wa zamani wa Kwimba - Bujiku Sakila ameibiwa simu yake na wana CCM katika uchaguzi ndani ya ukumbi; anahaha kuitafuta. William Ngeleja ametangaza kuwa aliyeichukua airudishe!
Habari hii inapatikana hapa: Anthony Diallo kidedea Uenyekiti wa CCM Mwanza | Fikra Pevu
Muda si mrefu ndugu Anthony Mwandu Diallo ametajwa kuwa mshindi wa nafasi ya Uenyekiti CCM mkoa wa Mwanza. William Ngeleja (msimamizi wa uchaguzi) amemtangaza rasmi.
More updates to follow...
* Kuna kituko kimetokea hapa, Mbunge wa zamani wa Kwimba - Bujiku Sakila ameibiwa simu yake na wana CCM katika uchaguzi ndani ya ukumbi; anahaha kuitafuta. William Ngeleja ametangaza kuwa aliyeichukua airudishe!
Habari hii inapatikana hapa: Anthony Diallo kidedea Uenyekiti wa CCM Mwanza | Fikra Pevu