Ansbert Ngurumo, Mange Kimambi na Evarist Chahali wajuzeni watanzania fursa zilizopo nje ya Tanzania

Huyo dada kichaa yuko chini ya makampuni makubwa ambayo yanamtumia na kumlipa pesa nyingi sana. Anatumiwa na magenge ya wauza madawa, wafanyabiashara wezi wakiwemo wale wa The Economist na nchi ya kijerumani ambayo inaitaka Tz kama koloni lao la zamani.

Na kwa maana hiyo, huyu dada anasafirishwa katika nchi tofauti kwa ajiri ya vikao na hao watu kutoka US kwenda UK, Ujerumani na Hong Kong. Na kwasababu amekubali kutumika kuichafua nchi yake na kutimiza majukumu aliyopewa huyu dada ana ulinzi wa maana sana. Wanajua bila ulinzi hawezi kufanya kazi yao kwahiyo wanampa pesa nyingi na ulinzi mkubwa.

Kwa sasa huyu dada ni tishio kwa nchi yetu kwasababu sasa hivi kila kundi hasimu na utawala wa hawamu ya tano kuanzia ndani kwenda nje wote wanamwona ni mtu sahihi kwao. Si ajabu kukuta haya makundi hayajuani lakini wote wanamtegemea Mange.

This is serious!
Na waswahili wanasema "ukiona ngedere mjini ujuwe kuna mtu kamleta."
 
Wachina wamewezeshwa na sera za serikali yao wewe kijana. Serikali iwawezeshe raia wake kuanzia wakiwa wadogo kwa kuweka sera nzuri kwa ustawi wao kijamii,kielimu,kitamaduni,kimaadili na kiimani. Wakifanya hivyo,kila mtu atatimiza wajibu wake na zaidi kwake binafsi na kwa Taifa kwa ujumla. Mtu ambaye nilikosa mkopo kisa nimesomea kwa Prof fulani ,leo nmeenda kujisomesha mwenyewe Urusi halafu unataka niwe sawa ma mtu toka China ambaye nchi ndiyo inayomtafutia yeye fursa!.
Ebu ficha upumbavu wako.hivi wewe,unataka kutuaminisha kuwa katika idadi ya wachina zaidi ya bilioni 3 wote wanapata huduma za serikali smoothly bila vikwazo vyovyote!?. Huna biashara unataka serikali ikukopeshe,hapo penyewe mmekopeshwa elimu ya juu na serikali ikitaka kuchukua vyake mnakuja kulalamika huku mitandaoni.wakati kunawenzenu pia wanahitaji hiyo mikopo ambayo mnatakiwa mlipe ili nao wengine wapewe.
 
Siyo kazi wala wito wao kuwaambia watanzania mambo ya fursa yaliyopo huko. Tumieni balozi zenu kama kweli mnataka kuzijua hizo fursa maana hizo ofisi ndiyo zimefunguliwa na zina gharamiwa kwa ajili hiyo.
viongozi wenu wanabomoa raia wa kawaida atawajengea ????
 
Kuna Watanzania wengi tumewahi kujaribu kuiuza TZ huku ughaibuni katika nyanja tofauti tofauti,lakini ukifikia hatua ya kuomba ushirikiano wa idara husika kama balozi au wizara zetu,kinachofuata ni mikwamo inayofanywa na hao wanaolipwa ili kuhakikisha hakuna mikwamo hiyo. Sasa hapo unataka kumlaumu diaspora kwa lipi? Tunaipenda nchi yetu sana ila kwa kweli kama hatutakuwa na watu makini kwenye kila idara na taasisi za umma/serikali,basi itakuwa ni kwenda hatua 8 mbele na kurudi 10 nyuma,halafu twajipongeza.
Tafadhali weka kila kitu wazi ulikwamishwa wapi na nini hatua zitachukuliwa mara moja.Mafumbo mafumbo haya hayasaidii nchi funguka kila kitu watu wachukue hatua
 
Alianza Chahali kuisema vibaya Serikali ya Tanzania akiwa huko Uskochi miaka zaidi ya sita iliyopita akafuatiwa na Mange akiwa Marekani pamoja na kuishambulia serikali lakini huyu na kuwatusi viongozi wa ngazi za juu za serikali na sasa ni huyu mkimbizi uchwara wa kiuandishi Ngurumo akiwa huko Finland kwa kujifanya anazijua taarifa za vikao vya siri ndani za serikali na kuzitoa kwenye public.

Kuna mengi huwa yanayoongelewa na watu walio nje ya nchi zao dunia kote lakini mengi huwa ni yale ya kweli na si porojo kama za hawa watatu.Lakini mengi ambayo huwa yanatolewa na watu hawa ni maneno ya majungu majungu tu kuhusu serikali na yale ya ukweli ni very few na mara nyingi hutolewa na Chahali.

Sasa kama huo ndiyo uchaguzi wao wa namna ya kuishi huko majuu waliko nadhani wajue kuwa wengi ambao huwa wanaishi nje ya nchi zao hufanya kila linalowezekana ili kuzijenga nchi walikotoka na si kuzibomoa kama namna wanavyofanya kikundi hiki cha watu watatu.

Kutuleta taarifa za siri zisizokuwa na ukweli wowote kwenye media za huku tz hazitusaidii sana zaidi ya mamlaka husika kuendelea na kazi zao.

Nilitegemea mngeanzisha hata namna gani ya kuwafanya watanzania kujua fursa zilizopo huko na kuwaunganisha watanzania na taasisi mbalimbali za huko mnakoishi ili waweze kushirikiana nazo katika kusaidia sekta mbalimbali kama ,biashara,elimu,technolojia,mawasiliano,utalii, na fani zingine ambazo huku tz yawezekana hazipo kabisa.

Muda mrefu mko katika mitandao ya kijamii lakini sioni namna mnavyowaelimisha watz ya kujiongeza kimaisha kitu ambacho kingekuwa cha maana zaidi na hata ukaaji wenu huko ungekuwa na maana zaidi kwa jamii ya kitanzania.

Wakenya wanaoishi ulaya na Marekani wanawasidia sana wakenya waliopo nyumbani kwa kuwapa fursa mbalimbali za huko majuu na kujikuta movement za wakenya kwenye airlines mbalimbali ni wengi sana.

Umesema kweli wakenya wako wengi sana huku Ulaya na busy na manbo ya maana. Wtz ni Watu WA wivu sana. Hawatakiani mema. Wanafiki sna. Sisi. Tunaona hata huku Ulaya. Mi sitaki kabisa hata kusogeleana.
 
Maandamano ya Mara kwa Mara, uhuru wa kutoa matusi bila kubugudhiwa na polisi na umpungufu wa kumbi za mikutano(mpaka tunafanyia ubalozi wa EU) ndo vipaumbele vya watanzania kwa sasa.

KWA HISANI YA AKILI ZA KINA MIGUNA MIGUNA
Naona sindano imewaangia tulieni dawa iingie
 
Siyo kazi wala wito wao kuwaambia watanzania mambo ya fursa yaliyopo huko. Tumieni balozi zenu kama kweli mnataka kuzijua hizo fursa maana hizo ofisi ndiyo zimefunguliwa na zina gharamiwa kwa ajili hiyo.
Sio kil kaz mtu apatayo ameipata via serikali
 
Hilo hawatofanya hata siku moja,kwani wanaamini hawatowala watanzania kama watawapa maendeleo.
ili umtawala mwafrika akili lazima umtengenezee shida.
 
Huu ndio ujinga wa midisspora ya kitanzania.Wakenya diaspora kazi kutafutia fursa wakenya wenzao nje ya nchi na ndio maajenti wa products za Kenya huko waliko ,ukija madiaspora wahindi kazi yao kutafuta fursa huko nje za wahindi wenzao na kuwa agents wa bidhaa za India pale walipo.Angalia hata wahindi watanzania madiaspora wa India kazi yao kutafutia fursa wahindi wenzao Tanzania na kuwa agents wa biashara na products za India ukija diaspora wa kiarabu ni hivyo kutafutia fursa waarabu wenzao na kuwa agents wa products za uarabuni kama mafuta,gesi nk ukija wamarekani na wazungu na wachina vivyo hivyo.Lakini midiaspora ya Tanzania kama akina Mange Kimambi nk kazi yao kufanya umalaya waliko na kutukana tu serikali haina faida yoyote kwao na familia zao Tanzania wala nchi.Ni machokolaa yanayoishi nje haifai hata kuyaita ma diaspora ni kuyapa sifa ambazo hayana.Mimi ni mmoja niliyepinga kwa nguvu zote kukataa diaspora wa kitanzania wasiruhusiwe kupewa duo citizenship bado hawaja ni convince cha maana wanachoifanyia nchi huko waliko
We upo hapa Tanzania unafanya nini cha mana zaidi ya kuwatumikia hao mabwana wako. Kwa kuja kutukana watu jamii forum. Ungekua na akili sio kila mmoja anaweza kufanya kazi ya agent kama unavyosema. Wenzetu wanaweka usalama wenye taaluma hizo Ndo wanafanya hizo kazi kwa manufaa ya nchi. Lakin serikali ya kipumbavu inawekeza kwenye Ushushu kwa ajili ya kupambana na raia wanaodai uwajibikaji wa serikali.
 
Chini ya JPM mnatwambia mmeanzisha viwanda 3800 Mange Chahari na Ngurumo wawape fursa za nini wkt viwanda vinakosa wafanyakazi
 
Wewe ndio choko kwelikweli kama umeanza mambo ya sijui yakumfatilia mtu mbona wewe mwenyewe unamfatilia magufuli si ufanye mambo yako uachane na rais wetu mpendwa. Na kila mtu afate biashara zake.
Magufuli ni raisi wenu na nani? Siku hizi raisi ni miliki ya kikundi cha watu na si wananchi wote? Elimu nchi hii imeshuka sana, tunasoma comments zenu na tunabaki kusikitika sana. Mungu awafungue bongo zenu vinginevyo mna kazi kubwa sana. Matusi ndo lugha yenu na si kujenga hoja, hakuna kitu mtajadili kwa mustakabali wa nchi hii bila kuweka itikadi zenu za vyama. Miaka michahe ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana kwa vijana wa aina hii.
 
Ebu ficha upumbavu wako.hivi wewe,unataka kutuaminisha kuwa katika idadi ya wachina zaidi ya bilioni 3 wote wanapata huduma za serikali smoothly bila vikwazo vyovyote!?. Huna biashara unataka serikali ikukopeshe,hapo penyewe mmekopeshwa elimu ya juu na serikali ikitaka kuchukua vyake mnakuja kulalamika huku mitandaoni.wakati kunawenzenu pia wanahitaji hiyo mikopo ambayo mnatakiwa mlipe ili nao wengine wapewe.
China ina idadi ya watu zaidi ya bilioni 3?
 
Ebu ficha upumbavu wako.hivi wewe,unataka kutuaminisha kuwa katika idadi ya wachina zaidi ya bilioni 3 wote wanapata huduma za serikali smoothly bila vikwazo vyovyote!?. Huna biashara unataka serikali ikukopeshe,hapo penyewe mmekopeshwa elimu ya juu na serikali ikitaka kuchukua vyake mnakuja kulalamika huku mitandaoni.wakati kunawenzenu pia wanahitaji hiyo mikopo ambayo mnatakiwa mlipe ili nao wengine wapewe.
Unajua maana ya SERA? Nisije kuwa najaribu kumpa "kande" mtoto wa miezi 6.
 
Magufuli ni raisi wenu na nani? Siku hizi raisi ni miliki ya kikundi cha watu na si wananchi wote? Elimu nchi hii imeshuka sana, tunasoma comments zenu na tunabaki kusikitika sana. Mungu awafungue bongo zenu vinginevyo mna kazi kubwa sana. Matusi ndo lugha yenu na si kujenga hoja, hakuna kitu mtajadili kwa mustakabali wa nchi hii bila kuweka itikadi zenu za vyama. Miaka michahe ijayo tutakuwa na taifa la ovyo sana kwa vijana wa aina hii.
Mkuu ni hatari sana sana sana. Unasoma comments za watu humu mpaka unajiuliza,hivi hawa vijana wamepitia katika mfumo gani wa elimu na hatima yao na ya Taifa lao hapo baadaye itakuwaje.
 
China ina idadi ya watu zaidi ya bilioni 3?
Umeona sasa mkuu blackT? Kama kijana hajui hata China ina idadi gani ya watu,ataweza kujua Tanzania inahitaji nini na nini ili isonge mbele? Achana na hao wafia vyama wanaoishi kwa kusifia/kukashifu/kutukana watu wenye mrengo tofauti nao.
 
Hata kama siyo kazi yao kwahiyo unafurahia wanachokifanya kwa sasa kwa taifa wakiwa huko majuu.
Me nafurahia kwa sababu viongozi wako mabogazi sana awajielewi wanaropoka ropoka ujinga kwenye umati wa watu,unatisha watu wakati wewe mwenyewe unaenda haja hasa huyo Raisi wako.
 
Back
Top Bottom