Mzee Chayayi
Member
- Feb 16, 2018
- 25
- 19
Hata kama kuna uhuru wa kujieleza, kujieleza kwako hakueleweki.
Aliyeshindwa siasa ni huyo dhalimu aliye na chuki za kutisha na roho mbaya hadi kuamua kuua Watanzania wasio na hatia yoyote ile. Tia akili kichwani.
Nakuelewesha soma photo ya gazeti kweli si kweli usijitie wenda wazimu. That is main pointAtakayesoma na kuelewa naomba anieleweshe na Mimi.
Jibu tayari chini. Mengine yanamhusu admin. Usijitie upofu. Gazeti linasema kweli au uongo?Tumpe nafasi ajisome mwenyewe akijielewa atueleweshe
Are you a dictator? Kwanini unanilazimisha nikubaliane na matakwa yako? Wewe unataka usiingiliwe Uhuru wako lakini wewe huyohuyo unaingilia uamuzi wangu! Huo unaoingilia kwenye kura zangu hautoshi?Tafadhali usiunganishe thread. Unapigania uhuru wa kujieleza niache na mimi nijieleza.
Ngurumo muongo na mnafiki mkatae
Ndio hawa waandishi wa hili gazeti. Hajatuomba radhi kwa uongo wake
Admini tafadhali usiunganishe. Usiingilie uhuru wangu. Tutaandika kwingine ambapo huna uwezo nako kuzuia au kuunganisha
Humjui anayeuwa watu? Yuko kuleee kaskazini. Tokea ujambazi wizi wa magari hadi ubunge. Karudia kazi yake
Ndiyo imesha unganishwa, unasemaje sasa!!Tafadhali usiunganishe thread. Unapigania uhuru wa kujieleza niache na mimi nijieleza.
Ngurumo muongo na mnafiki mkatae
Ndio hawa waandishi wa hili gazeti. Hajatuomba radhi kwa uongo wake
Admini tafadhali usiunganishe. Usiingilie uhuru wangu. Tutaandika kwingine ambapo huna uwezo nako kuzuia au kuunganisha
Ipo aina nyingi ya wakimbizi,lakini huyu mhandishi wa habari alidai kuwa kuna watu wanatishia maisha yake.Nchi aolikimbilia Finland ikaridhika na kumpa hifadhi.Alianza Chahali kuisema vibaya Serikali ya Tanzania akiwa huko Uskochi miaka zaidi ya sita iliyopita akafuatiwa na Mange akiwa Marekani pamoja na kuishambulia serikali lakini huyu na kuwatusi viongozi wa ngazi za juu za serikali na sasa ni huyu mkimbizi uchwara wa kiuandishi Ngurumo akiwa huko Finland kwa kujifanya anazijua taarifa za vikao vya siri ndani za serikali na kuzitoa kwenye public.
Kuna mengi huwa yanayoongelewa na watu walio nje ya nchi zao dunia kote lakini mengi huwa ni yale ya kweli na si porojo kama za hawa watatu.Lakini mengi ambayo huwa yanatolewa na watu hawa ni maneno ya majungu majungu tu kuhusu serikali na yale ya ukweli ni very few na mara nyingi hutolewa na Chahali.
Sasa kama huo ndiyo uchaguzi wao wa namna ya kuishi huko majuu waliko nadhani wajue kuwa wengi ambao huwa wanaishi nje ya nchi zao hufanya kila linalowezekana ili kuzijenga nchi walikotoka na si kuzibomoa kama namna wanavyofanya kikundi hiki cha watu watatu.
Kutuleta taarifa za siri zisizokuwa na ukweli wowote kwenye media za huku tz hazitusaidii sana zaidi ya mamlaka husika kuendelea na kazi zao.
Nilitegemea mngeanzisha hata namna gani ya kuwafanya watanzania kujua fursa zilizopo huko na kuwaunganisha watanzania na taasisi mbalimbali za huko mnakoishi ili waweze kushirikiana nazo katika kusaidia sekta mbalimbali kama ,biashara,elimu,technolojia,mawasiliano,utalii, na fani zingine ambazo huku tz yawezekana hazipo kabisa.
Muda mrefu mko katika mitandao ya kijamii lakini sioni namna mnavyowaelimisha watz ya kujiongeza kimaisha kitu ambacho kingekuwa cha maana zaidi na hata ukaaji wenu huko ungekuwa na maana zaidi kwa jamii ya kitanzania.
Wakenya wanaoishi ulaya na Marekani wanawasidia sana wakenya waliopo nyumbani kwa kuwapa fursa mbalimbali za huko majuu na kujikuta movement za wakenya kwenye airlines mbalimbali ni wengi sana.
Kuna muungwana aliwafananisha na PIMBI!Maandamano ya Mara kwa Mara, uhuru wa kutoa matusi bila kubugudhiwa na polisi na umpungufu wa kumbi za mikutano(mpaka tunafanyia ubalozi wa EU) ndo vipaumbele vya watanzania kwa sasa.
KWA HISANI YA AKILI ZA KINA MIGUNA MIGUNA