MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Source: ITV, HABARI YA SAA MBILI
Spika wa bunge Mh Anna Makinda amesema ifikapo mwaka 2015 hatogombea tena ubunge. Ameyasema hayo leo alipokuwa anaongea na wapigakura wake katika jimbo la Njombe somewhere.
Amesema ameshikilia kiti hicho cha ubunge kwa miaka 17 na sasa amechoka na anahitaji kupumzika.
Source: ITV, HABARI YA SAA MBILI