kina Zitto Kabwe walishawahi kusema hawagombei tena na wakagombea kama kawaida, si jipya hili kulisikia kwa mwana siasa
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.
Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI