Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,817
- 28,523
Hao wajukuu amewatoa wapi huku Makinda hana mtoto wa kuzaa,labda wajukuu wa ndugu zake.Hiyo nyumba amewanunulia wajukuu, Anna umri umeshaenda!
Hao wajukuu amewatoa wapi huku Makinda hana mtoto wa kuzaa,labda wajukuu wa ndugu zake.Hiyo nyumba amewanunulia wajukuu, Anna umri umeshaenda!
Ccm wangekuwa wanajuwa kuna kifo wasingewatendea wenzao unyama.Makinda anakaribia miaka 90 kwa umri sasa hayo majumba ya nini?
Isitoshe Binti ake ambae ni mtoto ake pekee wa kumzaa iyo $400.000(900M TZS ,kwa kazi anayo fanya USA ashindwi mnunulia mama ake nyumba.Pia nikiangalia sioni nini kinampekea yeye kwa sasa kununua Nyumba kwa sababu ana shida ya kuwa na nyumba nyingine kwa sasaKuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....
Ila.....
Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na biashara vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........
My take:
Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPIMZIKE
Pale Sinza Africa sana ile barabara inenda kutokea kijitonyama si ilifungwa kisa kuna ghorofa la huyo lilikuwa linajengwa?huyo mama ana channel nyingi sana za kipato, pia mafao yake katika ngazi mbali mbali za uongozi, hakuwa mtumiaji wa kuonekanaa sasa muda umewadia wa kujifunua matumizi
ata hii huenda amecheza step vibaya taarifa zikavujaa
Mbona hapo juu kuna mdau anasema Makinda ana binti yupo USA?Hao wajukuu amewatoa wapi huku Makinda hana mtoto wa kuzaa,labda wajukuu wa ndugu zake.
Magufuli mwenyewe hatujui 1.5 trillion alizipeleka wapi mpaka leo na hukusema kitu. Ila imeona hizo mil 900 ni kubwa sanaHamjambo ndugu zangu?
Speaker mstaafu bi anna Makinda amenunua nyumba hapa mbezi makonde yenye thamani ya tsh 900 ml.
Hiyo imekuja siku cheche baada ya mama huyo kukamilisha ujenzi wa ukumbi wake wenye thamani ya mabilion maeneo hayo hayo karibu na ukumbi wa RED HALL
Huyu alikuwa mtumishi wetu pesa kaipata wapii?
Ni kweli ufisadi umeisha Tanzania?
Nitawasilisha.
Mwamba UMEMALIZA 😍Isitoshe Binti ake ambae ni mtoto ake pekee wa kumzaa iyo $400.000(900M TZS ,kwa kazi anayo fanya USA ashindwi mnunulia mama ake nyumba.Pia nikiangalia sioni nini kinampekea yeye kwa sasa kununua Nyumba kwa sababu ana shida ya kuwa na nyumba nyingine kwa sasa
Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J Spika mimi namfahamu toka Tunakaa nae maeneo ya Seaview Upanga akiwa Waziri wa Wizara ya Wanawake na Watoto.Those Days watoto waliokuwa kwake We where friends and mara nyingi tulikuwa tunashinda kwake during the weekends watching Movies and Recorded CNN news Bulletins from VHS Tapes borrowed at EMPIRE MOVIE THEATER VIDEO LIBRARY Karibu na Mavuno House Posta mpyaHao wajukuu amewatoa wapi huku Makinda hana mtoto wa kuzaa,labda wajukuu wa ndugu zake.
Iwe wake wa kumzaa ama wa nduguye haiondoi kuwa ni mwanaye!Mbona hapo juu kuna mdau anasema Makinda ana binti yupo USA?
Hakika👍Unamjua vizuri? una hakika na hili unalomsemea?? Mama Makinda ana mtoto (Binti wa Kumzaa mmoja ) na pia anakaa na watoto wa dada na wadogo zake.Binti ake Jina lake linaanzia na J
Hivi unaposema "uzalendo mkubwa" unakiwa una maaana gani mkubwa???? naomba kuelimishwa kidogo!!Kuhusu hilo la milioni 900 sina ushahidi nalo.....
Ila.....
Mh.mama Anna Makinda ameanza kuwa mtumishi wa umma toka miaka ya nyuma na MSICHOKIJUA ni kuwa mh.Makinda ni MBANA MATUMIZI KWELIKWELI.....na mwekezaji wa KILIMO ,na vibiashara vingi vidogovidogo toka miaka ya 90......kwa hulka na tabia zake hizo sishangai akiweza kununua NYUMBA YA GHARAMA KUBWA KIDOGO..........
My take:
Tupende kuutafuta ukweli kabla ya KUWACHAFUA WAZEE WETU....WAMELITUMIKIA TAIFA HILI KWA UZALENDO MKUBWA....WAACHWE WAPUMZIKE...
#SiempreJMT
#NchiKwanza
Mawazo ya kimaskiniMakinda anakaribia miaka 90 kwa umri sasa hayo majumba ya nini?
Uzalendo haujalishi kuwa kiongozi ama laa....Hivi unaposema "uzalendo mkubwa" unakiwa una maaana gani mkubwa???? naomba kuelimishwa kidogo!!
Kwani ana mtoto hata wakusingiziwa?Hiyo nyumba amewanunulia wajukuu, Anna umri umeshaenda!
THATS THE PIE NUTTY MONEY HONGERA SANA SPIKA MSTAAFUSi hela zake za kustaafu,
Plus mikopo ya bank kutumia mali alizonazo,