Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,201
- 1,232
Chadema wamekwaa kisiki cha mpingo, watajuta kuzaliwa.
Tumechoka na stori za Zitto tuendelee na mambo mengine. Kesi yake imeisha kashajimaliza automatically, kilichobaki hatua za kumwondoa rasmi zikamilishwe tusonge na mambo ya maana.
Acha kukaririshwa ujinga wa ukabila na Chama Cha Mafisi wewe!Wachaga mbona mnahangaika sana na huyu MKIGOMA??
KWANI HAMNA VITU VINGINE VYA MAANA KILA SIKU ZITO ZITO TUH??
Hata kama! Kuna process za kufuatwa ili aondolewe rasmi ubunge!zikamilishweje? ofisi ya msajiri wa vyama vya siasa, na tume ya uchaguzi hawana katiba ya CHADEMA?
Dhambi ya usaliti itamtafuna sana Zitto!Dhambi ya kumbania Zitto haitamwacha Mbowe.
Hata kama! Kuna process za kufuatwa ili aondolewe rasmi ubunge!
Wachaga mbona mnahangaika sana na huyu MKIGOMA??
KWANI HAMNA VITU VINGINE VYA MAANA KILA SIKU ZITO ZITO TUH??