BOT act 2006 - Ipo bubu, sijaona mahali inapoeleza ni sarafu gani inatakiwa kutumika hapa nchini. Nadhani ni wakati muafaka kwa wabunge wetu kulifanyia kazi.
BOT act 2006 - Ipo bubu, sijaona mahali inapoeleza ni sarafu gani inatakiwa kutumika hapa nchini. Nadhani ni wakati muafaka kwa wabunge wetu kulifanyia kazi.
Nashukuru mdau kwa link hii, ila tayari niko kwenye maumivu makali. Muwekezaji wa nnje anatulipisha wazawa bill za Tanesco na Dawasco kwa dollar utafikiri tuko Washngton DC bwana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.