ndio mkuu lakini utawezaje kujiajiri bila mtaji! Nannadhani mtaji unapatikana through kuajiriwa au?sio lazima uajiriwe mkuu ...fikiria na kujiajiri!!! Au unapenda mishahara ya laki 3 na nusu kwa mwez!!? Tuulize wenzio tuliomaliza chuo tutakwambia!!
Piga animal science... Utaajiriwa na pia utajiajiri mwenyewe. Me napiga animal science i love it