Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Zainabu matatani kwa kutupa kichanga chooni | |
Tuesday, January 10, 2012 11:21 AM BI.ZAINABU SAID [24] mkazi wa Kiwalani jijini dar es Salaam, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kutupa mtoto wake mchanga chooni. | |
Taarifa hiyo ilisema mwanamke huyo alitupa kichanga hicho cha siku moja choooni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Faustine Shilogile alisema kuwa kichanga hicho kilitupwa chooni na mwanamke huyo kwa sababu ambayo haijafahamika hadi sasa Kamanda huyo amesema kuwa, majira walioposhitukia tukio hilo waliweza kutoa taarifa kituo cha polisi, na Jeshi hilo kufika eneo hilo kwa ushirikiano walifanikiwa kukiopoa kichanga hicho ambacho tayari kilikuwa kilishakufa Amesema kichanga hicho kilichukuliwa na kwenda kuhifadhiwala katika Hospitali ya Amana huku mama huyo akiwa anashikiliwa na jeshi hilo kwa uchunguzi zaidi kubaini alifanya tukio hilo kwa makusudi ama alikuwa na matatizo ya akili | |