Duh those days nilikuwa naona kama kituo cha polisi
kabla ya kuwa kanselidi na kuwa rafiki wangu wa karibu..bado inatumika
kupima yale mambo yetu!!!ama ulikuwa mradi wa muda???
mi nakuogopaga kama ukoma aliosema nyerere
sijui wamemwaga upupu????sie tunajipima na dawa za mitishamba shwari ikiwepo vitu vinafyatuka vikiwa kimya baada ya kula miti yrt ujue uko fiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.