Angaza bado ipo jamani??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,148
Duh those days nilikuwa naona kama kituo cha polisi
kabla ya kuwa kanselidi na kuwa rafiki wangu wa karibu..bado inatumika
kupima yale mambo yetu!!!ama ulikuwa mradi wa muda???
 
bado ipo, na inaendeleza libeneke kama kawa...ila hapazoeleki pale mahali jamani...
 
bado ipo, na inaendeleza libeneke kama kawa...ila hapazoeleki pale mahali jamani...

mi nakuogopaga kama ukoma aliosema nyerere
sijui wamemwaga upupu????sie tunajipima na dawa za mitishamba shwari ikiwepo vitu vinafyatuka vikiwa kimya baada ya kula miti yrt ujue uko fiti...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom