fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Utani pembeni kuna baadhi ya wanawake wanapenda sana kuwachukua wanaume au maboi friend wa rafiki zao wakike.
Yani aksiha jua mwenzake anafaidi basi anakuja na speed kama hii kuchukua mali ya mwenzake.
Anaji introducing herself kwako as a friend to a girl ambaye unampenda, au kama umeoa anasema ni best friend ya mke wako.
Afu atakueleza hivi; Unajua toka ulipo muoa rafiki yangu...Au ulipo tembea na gf wako...Wamekuwa na bahati sana, yani wako on top of the world, and she continues with "You just have to give it to me''
Aisay hawawezekani kama wanataka kitu kwako....Watakipata tu.
Siku njema.
Yani aksiha jua mwenzake anafaidi basi anakuja na speed kama hii kuchukua mali ya mwenzake.
Anaji introducing herself kwako as a friend to a girl ambaye unampenda, au kama umeoa anasema ni best friend ya mke wako.
Afu atakueleza hivi; Unajua toka ulipo muoa rafiki yangu...Au ulipo tembea na gf wako...Wamekuwa na bahati sana, yani wako on top of the world, and she continues with "You just have to give it to me''
Aisay hawawezekani kama wanataka kitu kwako....Watakipata tu.
Siku njema.