fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
- Thread starter
- #21
Hapo nilipo highlighted mara nyingi inakuwa vigumu sana wanaume kujizuia...Aisay kunawake wengine ukimtazama tu yale macho basi unabakia ndani ya macho yake....Hajakosea aliye imba I cannot leave you, Im just a prisoner of your eyes.Njia za ku-avoid mambo kama hayo zipo sana tu.
KWA MWANAMKE: Ni kujifunza kuyaweka moyoni mazuri anayofanyiwa na mumewe/mchumba wake. Sio wote wanaofurahia kustawi kwa mahusiano ya wenzao..watu wana vijiba na husuda tele mioyoni mwao so kukuharibia kwa kumchukua mpenzi wako kinaweza kisimkere wala kushtua mshipa wa t*ko.
KWA MWANAUME: Kama anamheshimu mkewe/mchumba wake,hatothubutu kuruhusu shemeji yake (shosti wa mkewe) awaharibie mapenzi yao..ataepuka vishawishi hivyo ikiwezekana kumwambia mkewe juu ya tabia hiyo chafu ya shoga yake. Akijileta tupa kule..unaweza ukaingiza magonjwa nyumbani kwako hivi hivi!
Yani sisi wanaume ni madahifu sana mbele ya wanawake...Kuanzia wakati wa Adam mpaka mtoto wakiume atakaye zaliwa wa mwisho kabisa duniani.
Nataka usome story ya nabii yousuf au kama wenzetu wanavyo muita prophet joesph afu ndo utajua...Wanaume bila kusaidiwa na mungu basi utajikuta uko kwenye mchakachaka wa kwenda kuleeee.