[video=youtube;3wJRssY_ujY]http://www.youtube.com/watch?v=3wJRssY_ujY[/video[/QUOTE
Nakwambia hawa watawala kina JK ni wagonjwa wa akili, hebu fikiria haya mapesa yoote ya kufanyia nini??????????? Tena utakuta kuna raia wake wanakufa na njaa. Wengine ni omba omba barabarani. Si angebuni project ya kusaidia Raia wake????????Wengine nao wangoje kukurupushwa kama huyo aliye watangulia!!!!!!!!!!
Majuto ni mjukuu!!!!!!!
Video!
install adobe...video ipi?...i dont see it
Sisi wengine hatujui kiarabu, tutajuaje kama ni za Bin Ali au pengine hapo ni strong room ya benki fulani mkuu