Halafu huyo jamaa kulia muone alivyomshupalia na mimacho kwa huyo Wema!
anashangaa uumbaji wa Mungu
njembaaa anakula kwa macho....
Oneni faida ya kuutaka uzuri!
Kwanza hajawahi kumuona zaidi ya kwenye Movie, halafu hapo kichwani zaidi ya kushangaa ana maswali mengi sana kama " hivi na mimi siku moja naweza kumpata huyu"?
anajua hawezi mpata kwahiyo hapa anchofanya ni kuhifadhi images kibao, kwa kuzitumia kwa ajili ya shughuli ya baadaye....
huyu dada anazeeka vibaya sana
shughuli gani?
Joyceline kwanini akae uchi hivyo je mama yake alikuwa anatetea nini siku ile kwenye TV kuwa amemtengeneza mwanae kma sio kutafuta kuandikwa kwenye magazeti ndio mkao gani huo?hiyo akili imezeeka hiyo nasikia mamayake jana katoka nduki maana alichokiongea ni viseversaKwa nini?
huyu dada anazeeka vibaya sana
ama kweli dunia ina mamboWanaume tuna mitihani jamani