MDAU JR
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 451
- 82
Oneni faida ya kuutaka uzuri!
Kwenye red rekebisha mkuu, si kwamba ukiwa mweupe automatically unakuwa mzuri, inaweza kuwa vise versa pia so usipotoshe watu kuwa weupe ndo uzuri.
Oneni faida ya kuutaka uzuri!
Kwenye red rekebisha mkuu, si kwamba ukiwa mweupe automatically unakuwa mzuri, inaweza kuwa vise versa pia so usipotoshe watu kuwa weupe ndo uzuri.
lets be honest kwa wale ambao mmeshawahi kusikia story za majini... asee jini linafanana hivi.. sasa kwanini uutafute ushetani kwa expenses zote hizo..?
Oneni faida ya kuutaka uzuri!
Joyceline kwanini akae uchi hivyo je mama yake alikuwa anatetea nini siku ile kwenye TV kuwa amemtengeneza mwanae kma sio kutafuta kuandikwa kwenye magazeti ndio mkao gani huo?hiyo akili imezeeka hiyo nasikia mamayake jana katoka nduki maana alichokiongea ni viseversa
kwa kweli inashangaaza mwanamke wa design hii huvutia nini wanaume. check paja lilivyojaa michirizi!!!
hapa kweli naamini beauty is in the eyes of the beholder
Ndallo hakukosea kwani huo ni mtizamo wa yule anaefanya jambo ili aonekane kuwa mzuri. Jee unasemaje la dada zetu wote Bongo kuvaa nywele za Bandia za kizungu?
Joyceline kwanini akae uchi hivyo je mama yake alikuwa anatetea nini siku ile kwenye TV kuwa amemtengeneza mwanae kma sio kutafuta kuandikwa kwenye magazeti ndio mkao gani huo?hiyo akili imezeeka hiyo nasikia mamayake jana katoka nduki maana alichokiongea ni viseversa
Hilo ni sawa na kujichubua, la mtazamo tuwaachie wao, mimi Ndalo na wewe turudi kwenye mstari, si lazima ujichubue na kufunga nywele za bandia ndiyo unakuwa mzuri.
Hilo ni sawa na kujichubua, la mtazamo tuwaachie wao, mimi Ndalo na wewe turudi kwenye mstari, si lazima ujichubue na kufunga nywele za bandia ndiyo unakuwa mzuri.
njembaaa anakula kwa macho....
Ana fanya backup kwa ajili ya matumizi ya baadaye (beshen)