M2 asie mwelewa anaangalia mabaya tu,hatambui kuwa kuna mema ndan yake,hongera Chenge
:flame:NINASUBIRI WAKATI TU HATUWEZI WAVUMILIA WATU WAPUUZI WAENDELEYE KUVUTA HEWA NA KUCHAKACHUWA KATIBA NDIYO JAMBO LAO LAMWISHO NA LITAWAPELEKA KUZIMU TIMU YOTE YA MAFISADI SSENGE:flame:Kamanda nadhani una hasira ya kuua mtu!!
Kweli katika siasa za Tanzania, Siku hazigandi.
Hongera Mtemi Chenge.
kweli nchi bado inawazembe wa kufikiri? kumwajiri kinana na nape, huku wakipita na kuhadaa watu ndo ajira? unajua kazi ya dola? unajua wizi wa chenge uliziba ajira ngapi? hujui pesa alipeleka kisiwa cha new jersey, aliwatengenezea ajira kiasi gani? ebu tumia ubongo kufikiri!CCM ndo tunaajil,2nasomesha kwa hyo ukawa kaen pemben mtuache 2fanye kazi na wananch,2015 tutawaonesha adabu