Anayoyafanya RC Ally Hapi wa Iringa ndiyo yaliyoondoa uhai wa Dr Kleruu. Hawa vijana wajifunze kuongoza kwa hekima

Ninachokijua mimi ni kwamba hii nchi imejaa "wazembe" wengi sana, na akitokea mtu wa kukemea uzembe hadharani mnaanza kulia lia kama wewe unavyolia lia hapa. Lazima mtanyooka tu na kuacha uzembe, baada ya 2025 wazembe watakuwa wamepungua sana Tanzania.
Pamoja na wewe ambaye ufatilii habari,
 
Waambie hawa vijana wapuuzi, walevi wa madaraka. Wajinga, vichaa kama Baba yao aliyewateu. Wanajua kuongoza watu ni vitisho, kejeli, matusi, na kutaka sifa.
Kenneth Kaunda akiwa bado Rais wa Zambia miaka ya 70 mwishoni, aliwahi kutembelewa na waandishi wa habari kutoka Marikani. Akijibu moja ya maswali alisema: " ..... hakuna uongozi wa nchi hasa Afrika, ... usiyotegemea aliyeko juu(Rais). Juu pakiwa na punda panakuwa uongozi wa kipunda ...." (..If there is a donkey on top, it becomes a donkey administration...)
 
Hizo mada za Membe zitasababisha mtu afanye kituko. Kuna namna nyingi ya watu kuandamana na hili la Membe ni mojawapo. Jamaa analazimika kutafuta na kufuatilia ukweli wa taarifa na kiwango cha threat ghafla mtaanza kusikia mipayuko. Maana kuna maswali mengi ya kujiuliza kama vile baada ya kimyaa kikuu why now? Ukweli Lowasa siyo threat kabisa. The real threat ni Sumaye, sasa Membe naye anaanza kuibuliwa kama uyoga from no where anaza genuine threat. Nakushauri nunua pop corn mkuu. Picha ndiyo limeanza hivyo.
Wajinga na wapumbuvu wengine toka upinzani ndio wataona eti hii nayo ni njema sana kwao!
 
Muasisi wa siasa za chuki, visasi, ubaguzi na ukatili nchi hii anajulikana na adhabu yake kwa Mungu huyu wa malipizi imeandikwa kwa moto! Wanachokosea hawa vijana ni kumuiga tembo kunya, huko waendako watalia na kusaga meno hiki kipindi cha mpito kikimalizika, sijui watajificha wapi! Gambo amebadilika sana, ameyaona maisha katika mwanga bora, ni muungwana sana siku hizi, tumwache Hapi achezee wanyalukolo atakiona cha moto!
Kuna moja yuko Mbeya anaropoka kweli na kupenda kitoa sana vitisho. Nchi yetu inapita katika kipindi kigumu, siku zote mtu usipokuwa na maono ya mbali kamwe huwezi kuwa na adabu.
 
Kifo cha mama yake kimen-distract mnoo akili zimemrudia Na amekumbuka dunua mapito!
Na ukute wakati akiwa kwenye majonzi ya msiba wa mama yake, wale aliokua anawasumbua na kuwaonyeshea ubabe ndo walikua mbele kumpa mkono wa kumfariji, hapo lazima ajirudi na kujua kwamba aishi na watu vizuri. Tumuombee aendelee hivyo.
 
Unaonekana hakuna unachokijua wewe
Akitulia na kutafakari vizuri na kugundua ni yeye pekee au labda wako wawili tu kwenye huu uzi wenye mawazo mfu kwa kiwango hicho, atajilaumu sana. Mleta mada ameileta vizuri sana na ametoa hadi mifano ya nyuma, lakini bado kuna vichwa vya aina hiyo.
 
Mninavyojijua ningeweza kumnasa vibao uwe mwisho wa kutumikia udhalimu... siwezi dhalilishwa kiboya
 
Back
Top Bottom